Mhujumu Uchumi
JF-Expert Member
- Sep 14, 2014
- 1,575
- 3,515
Baada ya kusubiri codes toka jana bila mafanikio hatimaye leo nimepokea simu tatu, nilipigiwa na ofisi ya admission chuo cha Mipango Dodoma asubuhi, Mcha
Na hivi sasa nnimepigiwa simu kutoka ofisi ya admission CBE Dodoma.
Hivyo basi ninachoweza kuwashauri wenye kusubiri codes kama mimi na hawajatumiwa bado na simu hawajapigiwa kama mimi ni vyema wakapiga simu katika moja ya vyuo walivyochaguliwa na ambacho wanaona ndicho chaguo lako ili uweze ku-confirm.
Binafsi nimeshafanya chaguo langu bila hata kutumia MB zangu, wamenipigia wao wenyewe, MB zangu baadae naingia nazo YouTube
Na hivi sasa nnimepigiwa simu kutoka ofisi ya admission CBE Dodoma.
Hivyo basi ninachoweza kuwashauri wenye kusubiri codes kama mimi na hawajatumiwa bado na simu hawajapigiwa kama mimi ni vyema wakapiga simu katika moja ya vyuo walivyochaguliwa na ambacho wanaona ndicho chaguo lako ili uweze ku-confirm.
Binafsi nimeshafanya chaguo langu bila hata kutumia MB zangu, wamenipigia wao wenyewe, MB zangu baadae naingia nazo YouTube
Jamani naomba msaada Jana niliingiza code chuo Cha NIT nikapata ujumbe unsuccessful confirmed usiku wa Leo nimepata code nyingine lakini Kila nikijaribu kuingia kwenye account yangu huo ujumbe wa awali hautoki ili nipate sehemu ya kuweka hiyo code mpya. Msaada wakuu
Jaman mpaka now sija pata code zozote je nifanye nn ili niweze kupata au mwenye namba za TCU naomba