zefounda
Member
- Nov 26, 2012
- 97
- 19
Asubuhi hii nimepata taarifa na ndugu yangu aliyeko Mutukula kwamba watz waliopo Rwanda wamepewa siku mbili kuondoka nchini humo na nyumba zao zitavunjwa. Wanajf wenye taarifa kamili waliopo pande hizo watujuze kama ni kweli au la.
Source:jamaa yangu wa Mutukula Bukoba
Source:jamaa yangu wa Mutukula Bukoba