(TETESI)Watanzania walioko Rwanda matatani?

(TETESI)Watanzania walioko Rwanda matatani?

Unajua viongozi wetu wanafanya vitu bila kufikiri inatia aibu sana.unajua kuna watanzania wengi wafanya biashara huko.sasa hawawezi kuondoka na vifaa vyao kama mlivyofanya kwa wanyarwanda walioshindwa kuondoka na ng'ombe zao.Mpende jirani yako kama unavyojipenda mwenyewe.Sisi tunawapenda wachina,wairan,waarabu,wazungu,watu kutoka west africa.Lakini huyu ndugu yetu na jirani yetu hatumtaki.Tumepanda mbegu mbaya,na itatutafuna mpaka watoto wetu wanaokuja.Mungu tupe busara
 
Unajua viongozi wetu wanafanya vitu bila kufikiri inatia aibu sana.unajua kuna watanzania wengi wafanya biashara huko.sasa hawawezi kuondoka na vifaa vyao kama mlivyofanya kwa wanyarwanda walioshindwa kuondoka na ng'ombe zao.Mpende jirani yako kama unavyojipenda mwenyewe.Sisi tunawapenda wachina,wairan,waarabu,wazungu,watu kutoka west africa.Lakini huyu ndugu yetu na jirani yetu hatumtaki.Tumepanda mbegu mbaya,na itatutafuna mpaka watoto wetu wanaokuja.Mungu tupe busara

wewe sio wa kawaida sio bure,au nawewe ni mnyarwanda nini
 
Warudi home tu tunawahitaji tujenge tanzania yetu kwa pamoja.
 
Unajua viongozi wetu wanafanya vitu bila kufikiri inatia aibu sana.unajua kuna watanzania wengi wafanya biashara huko.sasa hawawezi kuondoka na vifaa vyao kama mlivyofanya kwa wanyarwanda walioshindwa kuondoka na ng'ombe zao.Mpende jirani yako kama unavyojipenda mwenyewe.Sisi tunawapenda wachina,wairan,waarabu,wazungu,watu kutoka west africa.Lakini huyu ndugu yetu na jirani yetu hatumtaki.Tumepanda mbegu mbaya,na itatutafuna mpaka watoto wetu wanaokuja.Mungu tupe busara
Wewe na warwanda wenzako hatuwashangai twendeni pamoja mwisho wa siku tutaona nani mwenye majuto zaidi.
 
Unajua viongozi wetu wanafanya vitu bila kufikiri inatia aibu sana.unajua kuna watanzania wengi wafanya biashara huko.sasa hawawezi kuondoka na vifaa vyao kama mlivyofanya kwa wanyarwanda walioshindwa kuondoka na ng'ombe zao.Mpende jirani yako kama unavyojipenda mwenyewe.Sisi tunawapenda wachina,wairan,waarabu,wazungu,watu kutoka west africa.Lakini huyu ndugu yetu na jirani yetu hatumtaki.Tumepanda mbegu mbaya,na itatutafuna mpaka watoto wetu wanaokuja.Mungu tupe busara

Huna neno, watz kama wapo rwanda , si ni kisheria? sasa wewe kama ni mtz uko Rwanda kama mhamiaji shauriyako, lakini usiwatukane viongozi wetu, ------- weweeeee.ni mbegu gani mbaya zaidi ya wanyarwanda? amefikiri sana, amewaza sana , matokeo yake ameamua kuchukua hatua, sasa ni aibu kwako , au kwa nani kwetu sisi ni furaha, kumbuka mkuki kwa nguruwe ni furaha kwa binadamu ni chungu. nendca zako kama umeona ama kuolewa na mnyaru pole.na nina wasi wasi hata na mbugu hizo utakazotuletea nchini.
 
Unajua viongozi wetu wanafanya vitu bila kufikiri inatia aibu sana.unajua kuna watanzania wengi wafanya biashara huko.sasa hawawezi kuondoka na vifaa vyao kama mlivyofanya kwa wanyarwanda walioshindwa kuondoka na ng'ombe zao.Mpende jirani yako kama unavyojipenda mwenyewe.Sisi tunawapenda wachina,wairan,waarabu,wazungu,watu kutoka west africa.Lakini huyu ndugu yetu na jirani yetu hatumtaki.Tumepanda mbegu mbaya,na itatutafuna mpaka watoto wetu wanaokuja.Mungu tupe busara

Wewe Vipi?, mbona hupohupo tu!!. Hao watusi wa KAGAME wangekuwa wanatupenda wangetutenga?. NENDENI KENYA MKAISHI KIHALAMU, SI NDIO MLIOAMUA KUWANEEMESHA.
 
Mkuu subiria matusi na kejeli toka kwa vichwa panzi
Unajua viongozi wetu wanafanya vitu bila kufikiri inatia aibu sana.unajua kuna watanzania wengi wafanya biashara huko.sasa hawawezi kuondoka na vifaa vyao kama mlivyofanya kwa wanyarwanda walioshindwa kuondoka na ng'ombe zao.Mpende jirani yako kama unavyojipenda mwenyewe.Sisi tunawapenda wachina,wairan,waarabu,wazungu,watu kutoka west africa.Lakini huyu ndugu yetu na jirani yetu hatumtaki.Tumepanda mbegu mbaya,na itatutafuna mpaka watoto wetu wanaokuja.Mungu tupe busara
 
Ni uongo kwani BBC wameripot kuna waziri wa rwanda amesema hawatawafukuzi waTz wanaoishi rwanda
 
Divide and rule in its operation. Tanganyika, Rwanda_Urundi before First World War were one country under German rule. All in all, despite our differences we are better together.
 
Mimi ninaeongea ni mtanzania na kuna watanzania marafiki zangu wapo Rwanda wanafanya biashara huko.Ndio maana ninasikitika kwamba wataacha kila kitu huko.Nina maana wakija huku wewe ndio utawapa mtaji?
 
wewe ni makwetu au makwete?.wewe kweli nimekuona umeelimika sana.shule gani umesomea?ulaya mashariki kujifunza propaganda ?.Tunajua mmepewa laptop za bure na air time za bure baada ya kuona Nchemba na Nape wamekwama kuiokoa ccm.Sasa mnakuja na sera za chuki kupita mipaka ya nchi.Na pia tumeona kuwa kuna siri ya kuiokoa ccm kupitia hii chokochoko ambayo inawezekana ikasuluhishwa hata na mtoto wa darasa la pili.
 
Wewe mkuu una akili sana.Nimeipenda uzi wako huu.Hapo unajenga au unabomoa?.Maisha sio leo tu au baada ya miaka 20 ?.kuna vizazi vinavyokuja.unasemaje ?au wewe unawafundisha nini?
 
Hahaha kuwa mtutsi ni dhambi? Jenga hoja kai kushinda vijiweni tu
Wewe unaona kusema kuwa tunavuna tulichopanda ndo hoja! We mbwila kweli. Hayo ya kwako ndo mambo ya vijiweni mnapokaa mnajadili. Kama una akili timamu unaweza kutwambia kitu gani tulichopanda! Akili zako kama Kagame au Slaa wa Chadema ambao badala kukataa ushauri wanaanza kutoa matusi. Ndo maana nakuita Mtusi kwa vile una akili km kagame mzee wa kumwaga damu, aliyeanzia msituni kuua wenzie mpaka sasa yupo ikulu ndo maana hataki ushauri wa maana
 
Hahaha kuwa mtutsi ni dhambi? Jenga hoja kazi kushinda vijiweni tu
Kihistoria huwezi kuitwa au kuwa Mtutsi katika nchi za Maziwa Makuu, hawa sio watu kwani wanaROHO MBAYA SANA bora hata huko Rwanda nako wawafukuze warudi Ethiopia, mbona Waisrael wamerudi kwao wawachukue na hao waEthiopia wao wanaowadharau wabantu
 
unataka kujua mimi ni nani?mimi ni mkwele wa Bagamoyo.Mimi najua wewe sio Bure ,naona umenipita kwa akili sana.Kwani katika hii issue umenionesha kuwa kwenye chuki ongeza chuki zaidi.Mkuu inaonekana ndani ya nyumba yako mtoto wako mmoja akigombana na mwingine unaweza kupandikiza chuki zaidi ili wasipatane hawa watoto.Mimi ninachoshangaa ni kwamba kiongozi mzima anasema waamiaji hao hata kama wameolewa au kuoa wavunje ndoa zao.Unajua wakuu wetu wengi wa mikoa kama kule kigoma wameoa watu kutoka huko.Na wengine wapo hapo DSM.Tuanzie kwa viongozi wa serikali waliooa watu wanyarwanda.Tunaanzia juu kwanza.wavunje ndoo zao kama mfano.alafu tuje chini.
 
Back
Top Bottom