Yes its only Shoprite ya Sleepway. Hivyo sio tetesi tena, shoprite zingine zote zinaendelea kama kawaida na ni kweli wanaiba sana ili sie wengine ambao hatuwezi kuaford vile vizuri vya hapo, tuuziwe kwa bei poa. Pamoja na wizi wote, Shoprite hazitafungwa kwa vile zina make super profit, wafanyakazi wanalipwa mishahara peanut, hivyo wale wanaoiba, wanagawana faida na makaburu. Mpaka nyanya, nyama zinatoka SA wafaidika wakubwa wakiwa Afrika Kusini.
On-the other side, bidhaa zetu zinakosa nafasi kutokana na poor packaging. Acha matenga ya nyanya na mapakacha ya matunda ambayo ni organic yaende Sokoni Kariakoo na wenye pesa zao waendelee kula Genetic Modified Foods za Shoprite. Wamarekani walisha stuka zamani, kila kitu mpaka maji ya kunywa, wanaa
Import toka kwao!.