Kuna taarifa kwamba Yussuf Manji leo asubuhi amefika International School of Tanganyika akiwa amelewa chakari. Kwa kuwa alimfuata mwanae, walinzi walimsitiri na kumrudisha nyumbani.
....SO? Shud' it be any concern to Us???
Inatuhusu kwa sababu huyu kiumbe ana tuhuma nzito sana na lazima tuwe tunapata update zake na mienendo yake, taarifa nilizo nazo ni kuwa jamaa anajifariji kwa kulewa na kutumia yale mauchafu ilikupoteza mawazo maana moto unawaka....Kiranja asante kwa hii habariHii inatuhusu nini sisi? Na hao walinzi waongo sana, kama walimsitiri vipi sasa habari zake zinafika JF? Hivi kwani mtu akiwa na pesa ndio hanywi au halewi?
Inatuhusu kwa sababu huyu kiumbe ana tuhuma nzito sana na lazima tuwe tunapata update zake na mienendo yake, taarifa nilizo nazo ni kuwa jamaa anajifariji kwa kulewa na kutumia yale mauchafu ilikupoteza mawazo maana moto unawaka....Kiranja asante kwa hii habari
hii inatuhusu nini sisi? Na hao walinzi waongo sana, kama walimsitiri vipi sasa habari zake zinafika jf? Hivi kwani mtu akiwa na pesa ndio hanywi au halewi?
kabisaaaa yanatuhusu, kwani anahela zetu akilewa hivyo akipata ajali akafa si ndio tumelala nacho, hata watoto wake anasomeshea hela zetu. hata nguo anzazovaa kila kitu kinatuhusu tunauchungu na vyetu bwana na hii inaonyesha jinsi wana JF tulivyomakini kufuatilia hawa mafisadi na hela zetu looo! ananywea hela zetu au ndo mizimu ya mababu zetu imeanza kumuandama jamani bado kidogo atatembea uchi, nyie mnaomtetea mwambieni arudishe hela zetu eboooh! zinaniuma ati
....mmmmmm, kweli katuibia fedha zetu, so? Tunasubiri alewe ndio tuonyeshe hasira zetu? Tunasubiri mababu zetu wamfanye atembee uchi? and then? hela zisiporudi? Instead of kushangilia tunaposikia 'manji amelewa pombe asubuhi' si tungefanya la maana zaidi kwa kupiga hodi mlangoni pake na kumtaka arejeshe chetu?
...Pesa yake, pombe amekunywa yeye, mtoto aliyemfata ni wake..Tatizo nini???Hii inatuhusu nini sisi? Na hao walinzi waongo sana, kama walimsitiri vipi sasa habari zake zinafika JF? Hivi kwani mtu akiwa na pesa ndio hanywi au halewi?