Tetesi kuwa kuna 15,000+ wahitimu wa kwenda kwenye usahili wa PCCCB

Deeboyfrexh

JF-Expert Member
Apr 3, 2015
3,240
5,248
Kama hili nililosikia lina ukweli basi hali ni tete sana katika utaratibu wa ajira sahizi. Imagine nafasi ziko 350 tu ila raia wanaowania kinyanganyiro wanakaribua 20K..

Niwatakie kila la heri wadogo zangu najua sio kosa lenu ila ndio hali ya maisha ilipofikia hapo!

Wale wenye uwezo msisite kuwapa nauli na accomodation madogo maana Ijumaa patasheheni hapo Dodoma mjini.
 
Du , nimehairisha kwenda kwa sababu ya gharama za huko, nauli , pa kulala, chakula, idadi ya watu , inabidi watafute alternative written interview iwe inapigwa online au, au mtihani ifanyike kikanda , au katika kila mkoa , ili kurahisisha
 
Du , nimehairisha kwenda kwa sababu ya gharama za huko, nauli , pa kulala, chakula, idadi ya watu , inabidi watafute alternative written interview iwe inapigwa online au, au mtihani ifanyike kikanda , au katika kila mkoa , ili kurahisisha
Wanafanya hivi kwa sababu wanajua wabongo tumelala kifo cha mende. Na mabaya zaidi wanafanya haya kwa vijana na wanakuwa kimya. Haya mambo wangeweza kurahisha kabisa kwa kutenga sehemu ya kufanyia usahili kila mkoa ili kurahisha maisha ambayo tayari yako juu sana kwa sababu ya uzembe wa watawala. U-nyumbu ni hasara kila siku.
 
Kama hili nililosikia lina ukweli basi hali ni tete sana katika utaratibu wa ajira sahizi. Imagine nafasi ziko 350 tu ila raia wanaowania kinyanganyiro wanakaribua 20K..

Niwatakie kila la heri wadogo zangu najua sio kosa lenu ila ndio hali ya maisha ilipofikia hapo!

Wale wenye uwezo msisite kuwapa nauli na accomodation madogo maana Ijumaa patasheheni hapo Dodoma mjini.
Kwa sasa hiyo ni kawaida tu

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Kama hili nililosikia lina ukweli basi hali ni tete sana katika utaratibu wa ajira sahizi. Imagine nafasi ziko 350 tu ila raia wanaowania kinyanganyiro wanakaribua 20K..

Niwatakie kila la heri wadogo zangu najua sio kosa lenu ila ndio hali ya maisha ilipofikia hapo!

Wale wenye uwezo msisite kuwapa nauli na accomodation madogo maana Ijumaa patasheheni hapo Dodoma mjini.
Tafuteni ajira nje ya Nchi,kukomaa na bongo tuu mtakwisha.
 
sijajua kigezo cha kuita watu kwenue interview walikuwa wanaagalia nini, kuna mwanangu mmoja ana sifa zote isipokuwa hana cheti cha JKT, pamoja na Cheti cha Board. ila mimi nilikosa sifa mbili tu ila nimeitwa Umri ulivuka kidogo na walio kuwa wanataka pamoja na sina cheti cha JKT. ila sifa zilizobaki zote ninazo
 
Hali ni mbaya,upuuzi na ujinga ndiyo umetufikisha hapa, hatukutakiwa kabisa kufika hapa...
 
Siyo Tetesi Ni Kweli
Immigration Nao Wametoa Chance Mwendo Ni Huo Huo
 
Kama hili nililosikia lina ukweli basi hali ni tete sana katika utaratibu wa ajira sahizi. Imagine nafasi ziko 350 tu ila raia wanaowania kinyanganyiro wanakaribua 20K..

Niwatakie kila la heri wadogo zangu najua sio kosa lenu ila ndio hali ya maisha ilipofikia hapo!

Wale wenye uwezo msisite kuwapa nauli na accomodation madogo maana Ijumaa patasheheni hapo Dodoma mjini.
Ongezea na gharama za kuvuta umeme
 
Back
Top Bottom