Mjeekuuluza NA utaratibuu wa tenda uliotumikamaanakuna nyepesi nyepesi kwamba Billionea Aliko Dangote kuinunua club ya Dar young African, na hii inasemekana imetokana na ushawiwishi wa mwanachama na shabiki kindakindaki wa watoto wa jangwan yaan mzee wa msoga.Hii itakua habari njema sana kwa fans wa Dar es salaam Young African
Inashangaza sana kwamba hata hati za jengo la Yanga anazo huyu mzee siyo Katibu wala Mhasibu wa Yanga.Mzee Akilimali atakubari kweli? Make yeye ndiye mwenye timu
Hahaha I am not a football fan anywayBasi jiandae kisaikolojia young itakua kama tp mazembe
Hati zote za club ya yanga anazo bi Shadia Karume..Inashangaza sana kwamba hata hati za jengo la Yanga anazo huyu mzee siyo Katibu wala Mhasibu wa Yanga.
ngoja waje wenyewe.Hizo Ndoto ziliotwa Sana mwaka Jana, vipi zimeanza tena kuotwa na Vyura? Dangote aache kununua timu Uingereza au kwao Nigeria ambako soka Lipo juu na mashabiki wengi aje awanunue vyura? Kodisheni bhana