Utalaaniwa wewe unayedhani umaskini wako umeletwa na chenge. Kuhusu Bariadi nenda huko ukawaulize wananchi wake ndio wanaweza kusema mimi siwezi kuwasemea. Lakini ukweli ni kuwa umasikini wako haujaletwa na chenge lakini sisi wenye akili dumazi tusiotaka maendeleao. Yeye hakuomba madaraka bali alipewa walaumuni waliompa madaraka. Hakuomba uanasheria mkuu wala uwaziri. Alipewa kazi hizo kwa umahiri wake. Semeni yote iko siku mtakumbuka maneno haya maana hamjafanya naye kazi. Hasira za maisha yenu zinawafanya muwe wapofu.
Huyu anaelekea alinufaika kwa namna moja na ufisadi wa chenge sijui ndio katika wadogo wa Mkewe Christina Chenge waliojengewa majumba ya kukata na shoka au ni wa nyumba ndogo maana inaelekea hili la kuibuliwa fisadi Chenge limemgusa mno. Anajua vinono ndiyo hivyo vinatoweka taratibu maana jamaa hana access na bank accounts zake zote ndani na nje ya nchi.
we wadhani kama umtumwa na vijisent kuja kumuoshea hapa na wote tumetumwa sio? koma kabisa bibi wewe, kama na wewe umefaidika na hizo pesa za ufisadi kutoka kwa vijisent basi ushindwe na ulegee, unatajataja yesu hapa unadhani nani atasymphasize na fisadi wewe, muone kwanza! dunia nzima kwa taarifa yako inajua vijisent ni fisadi sasa endelea na kampeni ya kumfagilia kwa ufisadi wake.
Utalaaniwa wewe unayedhani umaskini wako umeletwa na chenge. Kuhusu Bariadi nenda huko ukawaulize wananchi wake ndio wanaweza kusema mimi siwezi kuwasemea. Lakini ukweli ni kuwa umasikini wako haujaletwa na chenge lakini sisi wenye akili dumazi tusiotaka maendeleao. Yeye hakuomba madaraka bali alipewa walaumuni waliompa madaraka. Hakuomba uanasheria mkuu wala uwaziri. Alipewa kazi hizo kwa umahiri wake. Semeni yote iko siku mtakumbuka maneno haya maana hamjafanya naye kazi. Hasira za maisha yenu zinawafanya muwe wapofu.
Mods please do your job!! Hebu muondoeni huyu anayeleta balaa katika forum yetu mwanana. Matusi na JF wapi na wapi? 😕
Si unaona mawazo yenu yalivyo finyu. Mnataka kila myu amchukie chenge haiwezekani ndugu zangu. Kama anawajengea nyumba na nyie ndio kinawauma basi mna kazi ndugu zangu. Nyie pia ni mafisadi mnaosubiri chenge afe, nyie sio Mungu ndugu zangu na wala hivo vijisenti mnavyosema hamtavitapa hamkuvitolea jasho; Mtangoja mpaka kuche ndugu zangu aliyewatuma atashindwa kama nyie tu poleni sana. Hatoweki mtu hapa ngo
hakuna hasira hapa wala nini, wewe ndio mwenye hasira kwa ufisadi wako kuumbuliwa. Eti wasema umahiri wake, umahiri wa kuiba...amakweli vijisent huachi kukufuru. Si juzi tu hapa umtoka kuomba msamaha na kusingizia usukuma wako ndio ulikupelekea kwenye dharau na majivuno. Umaskini uko jimboni kwako na mimi sio maskini na sina tamaa ya pesa kunipelekea kuiba kodi za walipa kodi kisa umahiri wa wizi uliosomea Havard, boooooooooo......
Acha hizo tuliza ball ndio kwanza mpira unaanza. nadhani tamaa unayo ndio maana unapata kihoro kwa vijisenti. Miaka 30 sio mchezo kwa hiyo usijikanyage, Hayo maneno kamwambie chenge hapa ni mimi mtoa hoja kama wewe nina uhuru wa kuongea na wala usiniwekee vikwazo
Kumbe pia alikuwa na kazi ya kuwajengea watu nyumba, hao wote ni mafisadi na aibu kwenu mafisadi kulimbikiza mapesa wakati kuna watanzania wanalala njaaa! Shame on you!
Acha hizo tuliza ball ndio kwanza mpira unaanza. nadhani tamaa unayo ndio maana unapata kihoro kwa vijisenti. Miaka 30 sio mchezo kwa hiyo usijikanyage, Hayo maneno kamwambie chenge hapa ni mimi mtoa hoja kama wewe nina uhuru wa kuongea na wala usiniwekee vikwazo
Hayo unasema wewe na hao wenzako soma yaliyotangulia kabla hujabwaka. Masuala ya nyumba kayasema mwenzako na hapa nilikuwa najibu tu tayari ushachukulia kana kwamba ni kweli . No wonder speculation za kunywa sumu zimezagaa kutokana na watu kutosoma sahihi
Da Fausta, sina haja ya kubishana au kutaka kuelekeza na wewe yapi yaliyo sahihi au yapi yasiyo..... nilisema spin hapo juu maana ulitaka kupindisha ukweli kulingana na jinsi fununu hizi zilivyoanza. Msukumo wa kuniambia mimi 'whatever' na kukupa 'a break' tells me a lot about you ......anyway, usiku mwema dada.Whatever, lakini yeye ndio chanzo cha hili suala wewe unaliona dogo ati? ni sahihi kusema uzushi kama huu Give me a break
Punguza speed hakuna kibaraka wa gazeti lolote hapa bali tunapambana na mafisadi akina fisadi Mkapa, fisadi Chenge na wengineo wengi na ushahidi dhidi ya ufisadi wao unatoka kidogo kidogo na picha kamili itaonekana muda si mrefu ujao.
Da Fausta, sina haja ya kubishana au kutaka kuelekeza na wewe yapi yaliyo sahihi au yapi yasiyo..... nilisema spin hapo juu maana ulitaka kupindisha ukweli kulingana na jinsi fununu hizi zilivyoanza. Msukumo wa kuniambia mimi 'whatever' na kukupa 'a break' tells me a lot about you ......
situlizi wewe fisadi, kihoro unachowewe kuona karibuni utakuwa segerea. Kama mtoa hoja mbona kinakuuma sana, wewe ni vijisent mwizi uliyewaibia watanzania bila huruma. Miaka 30 kwa mshahara wa serikali ya tanzania mbona kina warioba au kawawa hawana vijisent vyako. Wewe unawashwa na muwasho wa kihoro mzoea vya kutafuniwa wewe. wewe kalale maana huna mpya kama wewe sio chenge mwenzio ameshakubali kuwa kaiba sasa hapa unashanga tuu!
SAWA lakini haifuti ukweli kuwa umetupotosha kwa habari zisizo na ukweli au hili pia lina ubishi? maana hii ndio hoja yangu
no wonder unafaidi ufisadi huku ukisema 'this country bwana is very poor' wakati umaskini umeuleta wewe kwa mawazo ya wizi. No wonder unaandika kama vile macho yako kisogoni na moyo wako uko makalioni. huna haya fisadi wewe!
Fausta hapa JF habari zote zinachambuliwa yaani ziwe za chumbani, vijiweni, tetesi au za ikulu zote zinawekwa wazi...sijui ni kitu gani kinakupa hasira!!, anyway karibu JF ndio miila zetu ni vitu vya kawaida kwenye media ndio maana mtoa maada kaanza kwa kusema tetesi..usiwe na hasira tuliza munkari na taratibu karibu Jf tunahitaji mchango wako kwa manufaa ya wote