nadal kachukua hapa 7-5 duh mtu wangu naona ajipange vyema kwenye hii second set!!
:bump2:...dahhh!? yaani mpaka huku unataka kuwa mpinzani wangu?
Simba na Yanga nako kukoje? maana mimi Simba damu tangu naingia akili!
Haya bana...1st set Deuces hizoo!
Dalili naona kama mtu wangu anaweza kupigwa straight set leo ila angekuwa djoko wangetoshana na Nadal..Mziki unamzidia Fed
Sijui kama Federer atashinda mechi hii. Mara nyingi akishakuwa nyuma anapocheza na Nadal basi huwa ndio mchezo umekwisha. Kafanya uzembe mkubwa baada ya kuongoza 5-2 na kumuachia Nadala kushinda the next 5 points.
hii mechi inaweza kuwa fupi kuliko nilivyotaka!
Mkuu zile sio points zile ni game maana Federer alikuwa na 5 Nadal ana 3. So Nadal akashinda kuazia kwenye 3 mpaka 7.
Bora hata Djokovic angeingia kwenye final na kutie record iliyoweka katika ushindi wa mechi mfululizo.
Bora hata Djokovic angeingia kwenye final na kutie record iliyoweka katika ushindi wa mechi mfululizo.
probably 4 sets Nadal kwa sasa hamuwezi djokoDjoko angekuwepo, tungekuwa na uhakika wa 5 sets