Mwanamayu
JF-Expert Member
- May 7, 2010
- 11,349
- 6,476
Chaguzi zote za CCM zimejaa vitimbi ambavyo ni kinyume na usajili wa vyama vya siasa. Mifano michache ni: UWT - matusi, rushwa; UVCCM vivyo hivyo; kule Dom vivyo hivyo na mibastola nje nje. Sasa mbona utendi uliyoyasema wakati wa kifo cha marehemu Mwangosi? Au hilo jina lako linaendana na kushindwa kutenda?!