Kachanchabuseta
JF-Expert Member
- Mar 8, 2010
- 7,269
- 675
Mpaka sasa hivi kilaza wetu tendwa amelala vijana wake wanavinja sheria za uchaguzi, huyu tendwa atakuja kuleta vurugu katika uchaguzi unaoendelea.
Leo nimeangalia ITV nikamuana Godbless lema akisema CCM wanapika kampeni usiku sa mbili huku muda wa kampeni ukiwa umeisha, Twende wetu kimya
Juzi Jmosi nilikuwa kwenye site yangu huko kinyerezi nikawa naulizia mafundi wangu hivi huku segerea nani ana nguvu, wakaniambia yule wa chadema wakawa hawakumbuki jina moja ndo akakumbuka, nikawauliza vipi mbona wa CCM wanasema ana nguvu?
Wakasema hapana kwanza yule hajawai kuonekana mchana anapiga kampeni kuanzia saa2 usiku. na wakasema huyu hana jipya mana amwekuwepo toke kipindi cha nyerere na hajafanya lolote huku segerea. Hapa walikuwa wanamzungumzia Makongoro Mahanga
Wanasegerea waliniambia Makongoro Mahanga akianza kampeni usiku anapita nyumba kwa nyumba na anawapa elfu 40,000 na simu moja na t-shirt. Hapa mimi niliwaasa wapokee hizo hela na kura wampigie mtu makini tena nikawasisitizia pokeeni hizo hela na mmusindikize then fanya mambo tarehe 31
Mytake
Kwanini tendwa anawaacha ccm wavunje sheria za uchaguzi? Na kikwete mwenyewe anavunja sheria alizosihini
Leo nimeangalia ITV nikamuana Godbless lema akisema CCM wanapika kampeni usiku sa mbili huku muda wa kampeni ukiwa umeisha, Twende wetu kimya
Juzi Jmosi nilikuwa kwenye site yangu huko kinyerezi nikawa naulizia mafundi wangu hivi huku segerea nani ana nguvu, wakaniambia yule wa chadema wakawa hawakumbuki jina moja ndo akakumbuka, nikawauliza vipi mbona wa CCM wanasema ana nguvu?
Wakasema hapana kwanza yule hajawai kuonekana mchana anapiga kampeni kuanzia saa2 usiku. na wakasema huyu hana jipya mana amwekuwepo toke kipindi cha nyerere na hajafanya lolote huku segerea. Hapa walikuwa wanamzungumzia Makongoro Mahanga
Wanasegerea waliniambia Makongoro Mahanga akianza kampeni usiku anapita nyumba kwa nyumba na anawapa elfu 40,000 na simu moja na t-shirt. Hapa mimi niliwaasa wapokee hizo hela na kura wampigie mtu makini tena nikawasisitizia pokeeni hizo hela na mmusindikize then fanya mambo tarehe 31
Mytake
Kwanini tendwa anawaacha ccm wavunje sheria za uchaguzi? Na kikwete mwenyewe anavunja sheria alizosihini