Naifanyia kazi,Copy to GateCrasher
Usubiri nin? Mbona watu mnapenda kusubiri subir tuu eenh? Barabarani unasubiri, kwny Atm, kupata kazi, kujenga nyimba, daah kila kitu kusubiri tuu
Kama una uhakika wa kuwa naye kama mke kwa nini usisubiri!!!
mbuzi kwenye gunia, utakuta ni mawe...
Mfano off the track.allow me to ask you...
Hivi unapotaka kula nyama ambayo umeinunua kwa "bucha", what do u do?
Unaila ikiwa mbichi, au unasubiri hadi ikiwa imepikwa tayari kwa kuliwa?
Au bwalo!Hahaha...kwa hiyo una wasiwasi utakuta imeziba au?
Mfano off the track.
Vitu vingine redi medi,
Vingine tek awei,
We umechukua tekawei, unataka ukapike tena?
Kula ikibaki tunza kwenye friji,
njaa ikija kula!
Napenda kuuliza kwamba
kufanya tendo la ndoa mara kwa mara na mchumba yaweza kusababisha kumchoka mapema kabla ya ndoa?
Mtafanyaje tendo la ndoa kabda hamjaona? Any way sijafahamu kama ni kweli au la, Ila haya yote yanatokana na watu kutofuata maandiko ya vitabu vyao. Lau kama kila mtu atafuata kikamilifu masharti ya imani yake basi naamini hakuna kuchokana kabla na hata baada ya ndoa
Hapo nilipo bold mkuu; sidhani kama kuna kitabu kinaruhusu kushirikiana kimwili kabla.
Mtafanyaje tendo la ndoa kabda hamjaona? Any way sijafahamu kama ni kweli au la, Ila haya yote yanatokana na watu kutofuata maandiko ya vitabu vyao. Lau kama kila mtu atafuata kikamilifu masharti ya imani yake basi naamini hakuna kuchokana kabla na hata baada ya ndoa.