Napenda kuuliza kwamba
kufanya tendo la ndoa mara kwa mara na mchumba yaweza kusababisha kumchoka mapema kabla ya ndoa?
Kwahiyo wataka kuniaminisha kuwa kwa hata wale walio ndani ya ndoa wanachokana na kutafuta mibadala? Au kipi haswa chaweza kufanyika kuzuia kutomchoka mpenzi wangu?
Kama una uhakika wa kuwa naye kama mke kwa nini usisubiri!!!
Kama una uhakika wa kuwa naye kama mke kwa nini usisubiri!!!
Napenda kuuliza kwamba
kufanya tendo la ndoa mara kwa mara na mchumba yaweza kusababisha kumchoka mapema kabla ya ndoa?
Bora umchoke kabla ya ndoa kuliko kumchoka ndoani. Huko kitufe cha 'undo' kilitolewa kikawekwa cha 'refresh'...Napenda kuuliza kwamba
kufanya tendo la ndoa mara kwa mara na mchumba yaweza kusababisha kumchoka mapema kabla ya ndoa?
Copy to GateCrasherUsubiri nin? Mbona watu mnapenda kusubiri subir tuu eenh? Barabarani unasubiri, kwny Atm, kupata kazi, kujenga nyimba, daah kila kitu kusubiri tuu