Extrovert24
Senior Member
- Jun 23, 2022
- 107
- 124
Habari za jioni wana jamvi la JF, itoshe kusema ya kwamba tendo la ndoa ndiyo msingi ama nguzo ya wanandoa.
Ikitokea mmoja katika tendo la ndoa hafanyi vema ni rahisi lolote kumtokea kama ndugu yetu Yanga kule Khartoum. Lakini point ni kwamba kwa kizazi cha sasa vijana ambao ni 20+ hawawezi kushiriki tendo kwa ufasaha ukilinganisha na watu wazima kitu ambacho kilitakiwa kuwa kinyume.
Na sababu kuu zinajulikana ndiyo kitu ambacho huwafanya wengi kuogopa kuingia katika maisha ya ndoa, na mtu kuishia kuwa na msongo wa mawazo muda wote. Kijana wa 20+ unatakiwa kupelekea moto chombo ya fundi mpaka iseme baba basi yatosha mie.
Kitu muhimu sana ni lishe ambayo inaweza kukusaidia, lakini pia kuna wale ndugu zetu ambao waliwahi kupiga punyeto, hawa pia kwenye maisha ya ndoa baadae huja kuwa mtihani. Yaani ile misuli huwa inafika hatua inachoka yani mpaka huruma. Ndugu zangu wa vega/viagra nao pia hali huja kuwa mbaya.
NB: Sijaandika uzi huu kwa ubaya ndugu zangu, bali ni kukumbushana na kuweka afya zetu sawasawa. Maana hata kama ukiwa na pesa lakini afya yako ni dhaifu basi lazima utakuwa stressed sana.
Wasalaam.
Ikitokea mmoja katika tendo la ndoa hafanyi vema ni rahisi lolote kumtokea kama ndugu yetu Yanga kule Khartoum. Lakini point ni kwamba kwa kizazi cha sasa vijana ambao ni 20+ hawawezi kushiriki tendo kwa ufasaha ukilinganisha na watu wazima kitu ambacho kilitakiwa kuwa kinyume.
Na sababu kuu zinajulikana ndiyo kitu ambacho huwafanya wengi kuogopa kuingia katika maisha ya ndoa, na mtu kuishia kuwa na msongo wa mawazo muda wote. Kijana wa 20+ unatakiwa kupelekea moto chombo ya fundi mpaka iseme baba basi yatosha mie.
Kitu muhimu sana ni lishe ambayo inaweza kukusaidia, lakini pia kuna wale ndugu zetu ambao waliwahi kupiga punyeto, hawa pia kwenye maisha ya ndoa baadae huja kuwa mtihani. Yaani ile misuli huwa inafika hatua inachoka yani mpaka huruma. Ndugu zangu wa vega/viagra nao pia hali huja kuwa mbaya.
NB: Sijaandika uzi huu kwa ubaya ndugu zangu, bali ni kukumbushana na kuweka afya zetu sawasawa. Maana hata kama ukiwa na pesa lakini afya yako ni dhaifu basi lazima utakuwa stressed sana.
Wasalaam.