Tenda wema uende zako usingoje shukrani

Tenda wema uende zako usingoje shukrani

Aiseee daktari yuko commited na kazi yake aisee
 
Hakuna kitu kama hicho, hii ni stori imebumbwa tu. Hata kama ingekuwa kweli daktari amefiwa, ni makosa makubwa sana kiutawala kumtaka amfanyie upasuaji mgojwa, hata kumruhusu kumwandikia mgonjwa dawa ktk mazingira hayo ni hatari.

Vv
 
Huwa mimi ninapenda kukaa na watu wazima au wenye elimu na kupenda kuwasikiliza wanavyosema Mkuu mwambunnyara Pendelea kukaa na watu wazima au watu wenye elimu kukuzidi wewe utapata faida za dunia.
MKUU. UNACHOKIONGEA NI SAHIHI KABISA, PIA NIONGEZEE NYAMA. KUSUMA VITABU VYA HEKIMA YA MFALME SELEMANI (MITHALI NA MHUBIRI) HIVI VITABU UKIVISOMA KWA KUJIFUNZA NA KUTENDA HAKIKA UTAKUWA NA KISIMA CHA HEKIMA NA WATU WATAKUJA KUTAFUTA MAARIFA KWAKO NDUGU.
 
Back
Top Bottom