Habari zenu wakuu samahani naomba kuuliza upatikanaji wa pasi za dharura ukoje,ni vigezo vipi vinahitajika ili niweze kuipata,gharama ,na inachukua mda gani kuiprocess
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Na kama una vigezo tajwa hapo unaipata siku hiyo hiyo Gharama Elfu 30Huwe na cheti cha uraia kadi ya mpiga kura na wadhamini wawili barua ya mtendaji wa mtaa wako na picha za rangi au passport size kama hauna cheti cha urai uta hapa kwa mwana sheria pale pale Uhamiaji na taarifa zako pia zina jazwa kwa njia ya mtandao
Na kama una vigezo tajwa hapo unaipata siku hiyo hiyo Gharama Elfu 30
Hapo uta hapa kwa Sh 10000 kwa mwana sheria yupo Hapo Hapo Uhamiaji jumlisha na ela ya kujaza form online elfu 5000 hapo ni kama 35000 unapata passportAsante sana,ila national id ya nida sina,hivyo vingine vyote ninavyo isipokuwa kitambulisho cha taifa tu
Sent using Jamii Forums mobile app
No naenda UgandaMmesahau kuumuuliza hiyo hati ya mda ya kusafiria anataka kwenda wapi maana unaweza kukuta anataka kwenda south Africa or India or china
Mkuu nataka kwenda Zambia mji wa Kitwe sio Uganda kama nilivyosema awaliMmesahau kuumuuliza hiyo hati ya mda ya kusafiria anataka kwenda wapi maana unaweza kukuta anataka kwenda south Africa or India or china
Okay, Fanya hivi tembelea ofisi za uhamiaji zilizo karibu nawe utapewa utaratibu mzima hati ya kusafiria unayoitaji haina longo longo ukiwa na document wanazoitaji ndani ya lisaa limoja unapatiwa.Mkuu nataka kwenda Zambia mji wa Kitwe sio Uganda kama nilivyosema awali
Sent using Jamii Forums mobile app
Poa poaOkay, Fanya hivi tembelea ofisi za uhamiaji zilizo karibu nawe utapewa utaratibu mzima hati ya kusafiria unayoitaji haina Kongo longo ukiwa na document wanazoitaji ndani ya lisaa limoja unapatiwa.
Habari zenu wakuu samahani naomba kuuliza upatikanaji wa pasi za dharura ukoje,ni vigezo vipi vinahitajika ili niweze kuipata,gharama ,na inachukua mda gani kuiprocess
Sent using Jamii Forums mobile app
Lzm safari yako iwe ya dharura hasa,hazitolewi kiholela,km huna dharura ga kueleweka imekula kwako,Bora utafute international passport
Miss kumar subiri kaka mboror aje akupe majibu.Habari zenu wakuu samahani naomba kuuliza upatikanaji wa pasi za dharura ukoje,ni vigezo vipi vinahitajika ili niweze kuipata,gharama ,na inachukua mda gani kuiprocess
Sent using Jamii Forums mobile app