jina lako nani?? feis buku....
upo karne gani?? 21
ukitaka kumpa mtu habari kijana wa kisasa unatumia njia gani?? unafunga safari unapanda daladala unamfwata alipo then unamwambia....???????
crap...!! change jina lako maramoja jiite stone age not feisbuku....
..mtoto wa busara kila siku anakula kwetu, tukianza kula wa kwanza kukwapua nyama, tukimkataza utasikia mamaaa, sasa kivumbi usiku..(nature)
..mtoto wa kishuaaa, kwao asubuhi chai ya maziwa, mkate na blueband (babu)
.. imepita miezi 6 nyumbani hazijagongwa yai... henheeeee (babu)
... si ulitataka chai, chai sasa iweje unalalamika unaungua.. (wanaume)
.. mtoto wa kishua kwao vyuisi, soft drinks.. (babu)
....tukikaa bar tunakunywaaaaa... asubuhi tukiamka hee! ile 200 iliyobaki jana si bora tukanunue vitumbua.. (KR)
Mm pia simpendi..sio kwa sababu ya kijiti mdomoni..ila kwa sababu hajui kuchana! halafu anajiita rapper! nyimbo zao na yule mwenzie chegge! sijui ni mdundiko, kiduku, au chakacha! midundo na tone zilizomo haitambulishi aina ya muziki wanaoimba!