i am single mother with one kid 9yrs
^^
Yaani moyo umelipuka paaa! Si unakumbuka yaliyokukuta kwa Mokoyo? Yupo na christin chezea jf weye
^^
Hebu fanya maarifa nipigie chapuo. Labda wewe katakuelewa kwakuwa ni kashosti kako.
haya c unajua ka ugonjwa kake lakini emu fanyafanya nikapelekee kesho utakaona mlangoni!!
Kwani akioa ndo haipiti?
Naenda kukusemelea nownow
teh teh .............kuna watu mna vitukoooo ha ha ha LOL