Tell me again why we should forget?

Tell me again why we should forget?

Kibo10

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2013
Posts
11,278
Reaction score
8,868
ImageUploadedByJamiiForums1455026912.460856.jpg

ImageUploadedByJamiiForums1455026927.821680.jpg

ImageUploadedByJamiiForums1455026943.198987.jpg

Tell me again why we should forget...???
#BlackHistoryMonth #NeverForget
 
Hivi kwanini bado tunawashobokea wazungu.???????????????????????? Aisee black man amepitia mapito marefu sana.
Yani maisha ya mtu mweusi ni mateso mpaka siku anapunzika kwa kaburi mkuu
 
Yani maisha ya mtu mweusi ni mateso mpaka siku anapunzika kwa kaburi mkuu

Kwenye mjadala fulani ivi na jamaa ikatokea mmoja akasema " Hakuna jehanamu kwa mtu mweusi coz maisha yake tu ni jehanamu tosha"
 
"waafrika tunashindwa kujitawala wenyewe bila msaada wa aina yoyote kutoka kwa hawa watu wenye rangi zilizo kwenye nyayo za mwafrika kuanza misaada ya kimawazo hadi kifedha"-God remember us
dah..!
 
Harafu jitu tunalipa urais kila siku kazi kupanda ndege kwenda kuomba misaada.
 
Ilikuwa ni mateso kwa babu na bibi zetu. Lakini we have to move on.

Kibaya zaidi ni kwamba sio wazungu kwa sasa wanaotudidimiza. Hapana. Wengi wao ni viongozi wetu tuliowapa dhamana ya kuongoza nchi.

Badala ya waafrika tuwe kitu kimoja ndo kwanza tunapindua serikali kila siku. Mzungu huyo huyo anajua ngozi nyeusi ikiungana itakuwa balaa, kwa hiyo anacheza na akili zetu. Tunachukiana. Palipo na oil sasa hivi panaitwa black blood na palipo na diamond sasa hivi ni blood diamonds. Ni shida kwenda mbele.
 
Hivi kwanini bado tunawashobokea wazungu.???????????????????????? Aisee black man amepitia mapito marefu sana.
Inauma Sana! Na bado tunachukiwa tena bila hata sababu
 
Harafu jitu tunalipa urais kila siku kazi kupanda ndege kwenda kuomba misaada.
Na bado; kuna wanaolalamika kwa nini Magufuli hapandi ndege kwenda kuwafuata huko kwao "kujitambulisha", eti kwa sababu hajui kizungu.
 
Back
Top Bottom