Tell me about Russia.

Tell me about Russia.

Usa wanatumia zaidi private transport,
Una facts nyingi ambazo hazipo correct haswa linapokuja swala la comparison kati ya sehemu uliowahi kufika ww tu na sehemu ambayo dhahiri inathibitisha hujawahi kufika,upo so wrong

Wht do u know about being a communist country?Russia is the one and u are telling me Russians are the most happiest people wht a joke!

Eti kwamba russia ndio mwanamke anathaminiwa kuliko sehemu nyingine yeyote duniani,tembea uone mkuu huijui dunia hili umethibitisha

Get ur facts correct wanawake wazuri ktk vigezo vipi lbd?

Hatupo hapa kushindana mipasho,huo ni mtazamo na uzoefu wangu. I have been around the world. toa experience yako.
 
We kila.za umekuja kutuvurugia Uzi wetu
Vilaza ni nyie mnaouendeleza ukilaza wenu kwa kujazana ushuzi kwenye vichwa vyenu kuwa eti Russia ipo Asia

Mmepoteza sifa za kuwa humu kwa ma-great thinkers,rudini zenu insta huko au fb ndio kwenye level zenu vilaza wa head nyie
 
Hatupo hapa kushindana mipasho,huo ni mtazamo na uzoefu wangu. I have been around the world. toa experience yako.
Huu ni u-Pogba, huwa hamtakagi kbs kukosolewa km Pogba vile,naona umeanza kwa kujihami kuwa unachoambiwa ni mipasho,defensive mechanism
 
kila pahali pana uzuri na ubaya wake,ila uzuri ea Russia haufanani na kwingine,naamini wanawake wazuri kuliko wote kwa race ya wazungu ni Russian,hata ndai ya USA demu wakijua anatoka urusi wanahamasika haswaa!!

skinhead kweli wapo ila ni wahuni tu kama wahuni wengine,wanaamini russia ni for russians,ila nao wengi wanatembea na kuanza kujifunza universal life and interaction.

Ni nchi pekee ambayo mwanamke anathaminiwakwa kiwango cha juu utamaduni wake, na ukiwa na mwanamke wa kirusi matembezini basi hatawabaguzi hawatokufanya kitu tofauti na ukawa alone,mfano club japo wanachukia.

to some extent wanawake wa kirusi dream yao kubwa kutembea na chorni ie black guy,kwanza wanaamini ana nguvu za kutosha,ana hogo matata na tunapiga kazi,unaweza ukawabadili tu jma viatu!!

Baridi kule ndio mwisho wa matatizo,winter baridi kufika negative 40 ni kawaida tu ila kuna mji unaitwa Sibiri,huko hadi negative 70.

Warusi halisi hujiita maskovich,mostly wana blond hair,hawapatani na warusi wa pembeni ie kafkaz,na kafkaz wanawapenda sana blacks na haswa ukiwa muislamu ie dagestan,chechniya etc.

Ni kawaida tu kuongea na profesa halafu hajui english.

Russia naamini ni nchi pekee ambayo iko well advanced and planned kwenyepublic transport. Kila baada ya dakika 5 treni ya umeme ie metro inasimaa kituoni,USAunaweza kaa nusu saa hadi lisaa lizima treni haijafika!!
Uongo
 
QUOTE="Bavaria, post: 18988521, member: 295384"]Niambie kuhusu wanawake.



[/QUOTE]


Ni kati ya nchi zenye wanawake warembo sana na wanakufukuzia wewe pengine kuliko unavyomfuatilia mwanamke yeyote. Ni kama kila mwanamke wa Kirusi anataka uhusiano na mtu mweusi.
 
kila pahali pana uzuri na ubaya wake,ila uzuri ea Russia haufanani na kwingine,naamini wanawake wazuri kuliko wote kwa race ya wazungu ni Russian,hata ndai ya USA demu wakijua anatoka urusi wanahamasika haswaa!!

skinhead kweli wapo ila ni wahuni tu kama wahuni wengine,wanaamini russia ni for russians,ila nao wengi wanatembea na kuanza kujifunza universal life and interaction.

Ni nchi pekee ambayo mwanamke anathaminiwakwa kiwango cha juu utamaduni wake, na ukiwa na mwanamke wa kirusi matembezini basi hatawabaguzi hawatokufanya kitu tofauti na ukawa alone,mfano club japo wanachukia.

to some extent wanawake wa kirusi dream yao kubwa kutembea na chorni ie black guy,kwanza wanaamini ana nguvu za kutosha,ana hogo matata na tunapiga kazi,unaweza ukawabadili tu jma viatu!!

Baridi kule ndio mwisho wa matatizo,winter baridi kufika negative 40 ni kawaida tu ila kuna mji unaitwa Sibiri,huko hadi negative 70.

Warusi halisi hujiita maskovich,mostly wana blond hair,hawapatani na warusi wa pembeni ie kafkaz,na kafkaz wanawapenda sana blacks na haswa ukiwa muislamu ie dagestan,chechniya etc.

Ni kawaida tu kuongea na profesa halafu hajui english.

Russia naamini ni nchi pekee ambayo iko well advanced and planned kwenyepublic transport. Kila baada ya dakika 5 treni ya umeme ie metro inasimaa kituoni,USAunaweza kaa nusu saa hadi lisaa lizima treni haijafika!!

Sikumbuki mtu kuisubiria Subway au Path zaidi Ya nusu saa au saa nzima
Hebu fafanua
 
Back
Top Bottom