Uso wa nyoka
JF-Expert Member
- Mar 17, 2014
- 4,791
- 2,381
Ni kweli, nadhani bia imeanza kutambulika kama kilevi mwaka 2008. Hata matangazo ya bia kwenye TV zamani, yalikuwa yanaonyesha mara zingine mtu akiburudika na bia wakati wa lunch break akiwa job au familia nzima including Baba, Mama na watoto wakipata Piva(Bia).Mi nimesika kuwa kwa jinsi huko Russia watu wanavyokunywa sana vodka
hadi kunywa beer na kuendesha gari kulikuwa ni legal kisheria hadi miaka michache iliyopita
ndo wameanza kuona beer ni pombe..
wao beer ilikuwa kama soda tu...
Bei ya bia ni rahisi kuliko mkate na wana brands nyingi nzuri za bia ambazo ukiamua kufanya samplinf, unaweza kushindwa uichague ipi iwe favourite.
