Tell me about Russia.

[QUOTkikavaria, post: 18946586, member: 295384"]Huwezi nichosha mkuu.
Kila mwaka napenda kutenga muda wangu kujifunza kitu kuhusu nchi fulani.
Na 2017 ni zamu ya Russia.
Kwahiyo wewe andika chochote kuhusu Russia, ntasoma na kuzidi kujifunza.
Kama kila mwaka unatenga muda wa kujifunza nchi moja moja sijui mpaka sasa ushajifunza nchi ngapi, au kama ndo unaanza haya mafunzo mema maana mpaka uimalize dunia nzima kazi ipo[/QUOTE]
Sina mpango wa kumaliza dunia nzima.
Najifunza zile nchi ambazo utamaduni wao hauingiliani moja kwa moja na nchi nyingine.
Zaidi ya hayo kuna nchi nazipenda tu ila kuzifahamu kwa undani si rahisi.
Ni nchi chache nimeamua kuzifahamu.
Ikiwezekana siku moja niende kutembea..
 
Sio kama mnavyoaminishwa.
Ni kama ushawahi kuambiwa kuwa tanga kuna uchawi ukikanyaga gunzi linakuongelesha.
Ila ukifika tanga hakuna kitu kama hicho.
Ubaguzi upo ila sio kwa extent ya mtu kushindwa kuishi.
Nikitaka kukifahamu kirusi inachukua muda gani?
 
Reactions: MC7
Kama kila mwaka unatenga muda wa kujifunza nchi moja moja sijui mpaka sasa ushajifunza nchi ngapi, au kama ndo unaanza haya mafunzo mema maana mpaka uimalize dunia nzima kazi ipo
Sina mpango wa kumaliza dunia nzima.
Najifunza zile nchi ambazo utamaduni wao hauingiliani moja kwa moja na nchi nyingine.
Zaidi ya hayo kuna nchi nazipenda tu ila kuzifahamu kwa undani si rahisi.
Ni nchi chache nimeamua kuzifahamu.
Ikiwezekana siku moja niende kutembea..[/QUOTE]
That will be a sweetest of you ro accomplish your dream. Go ahead buddy
 
That will be a sweetest of you ro accomplish your dream. Go ahead buddy[/QUOTE]
Thanks bro.
 
Daragoi hata mimi niliishi pale Kazakhstan,
 
Andika kuhusu Putin au yale madude ambayo US anayaogopa, yale madude ya kupaa angani.
 

Vipi ulikuwa unapiga vodka???? tehtehtehte nauliza tu kama joke...
 
England Spain France Italy kila cku wachezaji weusi wanarushiwa ndizi muulize balotteli
Nchi zingine za Europe kuna uafadhari kuliko Russia...Timu nyingine za Europe wapo waafrika kibao kwenye national teams for example France 90% ya wachezaji wao ni black vipi Russia...hatari tupu...
 
Sio joke.
Nilikuwa nakunywa sanaa

Tehtehtehte...nilidhani pengine ni wale ambao huwa hawanywi au hawapati kilevi...na baridi ile ni lazima upige vodka, kwani ukipiga bia unaweza ukapiga crate mbili na usijione kama umelewa au usisikie chochote....
 
Ni nchi nzuri sana especially the Women, lots of memories . Tafuta muda uitembelee maana comments zitakuchosha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…