Maana yake ni nyani kwa kirusi.Ndio nini hio?
Umeshawahi kuishi Russia?Maana yake ni nyani kwa kirusi.
Mkuu historia ya urusi naifahamu sana . Na ni pana sana.
Nitakueleza kwa kifupi sana ndio maana nikarizevu space hapo kwa kuandika neno moja abiziana.
Nitakuja ku edit na kukupa info about Russia.
Kwanza dream ya mwanamke wa kirusi ni kutembea na mtu mweusi
Ntakuwa nauliza maswali. Usijibu kwa kifupi.Maana yake ni nyani kwa kirusi.
Mkuu historia ya urusi naifahamu sana . Na ni pana sana.
Nitakueleza kwa kifupi sana ndio maana nikarizevu space hapo kwa kuandika neno moja abiziana.
Nitakuja ku edit na kukupa info about Russia.
Kwanza dream ya mwanamke wa kirusi ni kutembea na mtu mweusi
Ahahaha! Binadamu bhana, sikujua kumbe kuna namna ya kureserve space kwa namna hii..!Abizian
Hizo Safari Lagaer zetu ni soda kwao.Mi nimesika kuwa kwa jinsi huko Russia watu wanavyokunywa sana vodka
hadi kunywa beer na kuendesha gari kulikuwa ni legal kisheria hadi miaka michache iliyopita
ndo wameanza kuona beer ni pombe..
wao beer ilikuwa kama soda tu...
Miaka nane na nusu.Umeshawahi kuishi Russia?
Sio kama mnavyoaminishwa.Warusi wabaguzi hao...
Warusi wabaguzi hao...
Oooh mimi nimeisha shuhudia mchezaji mpira anatupiwa ndizi tena siyo mmoja...Sio kama mnavyoaminishwa.
Ni kama ushawahi kuambiwa kuwa tanga kuna uchawi ukikanyaga gunzi linakuongelesha.
Ila ukifika tanga hakuna kitu kama hicho.
Ubaguzi upo ila sio kwa extent ya mtu kushindwa kuishi.
Ndizi hata ballotel si anatupiwa huko italy. Hata uk na us upo ubaguziOooh mimi nimeisha shuhudia mchezaji mpira anatupiwa ndizi tena siyo mmoja...
Urusi kuna ubaguzi? Kwa kiasi gani? Upo maeneo gani hasa?Miaka nane na nusu.
Nimeishi Russia -moscow na caucus ( ni jimbo la russi lina vurugu kama kosovo) huko watu wanamjua 2 pac kwa sababu ni mwislamu na wao ni waislamu.
Mtu mweusi wakikuona wanataka uimbe mistari ya 2 pac.
Pia kazakhstan nimeishi nchi za ussr zilimeguka, nikaenda hadi ukrain na poland. Pia uzbekstan na abhazia yale majimbo aliyoyachukua Putin kutoka Georgia.
Ila moscow ndio nimekaa sana.
Baridi lake linafika hadi minus 39
Huwezi nichosha mkuu.Russia ni nchi kubwa sana na ina majimbo mengi ambayo yanatofautiana masaa na hata tamaduni zake zinatofautiana japo wote ni warusi na wanaongea kirusi.
Kuna majimbo kama caucus kusini mwa Ru huko kuna watu watata sanaa ni waislamu na baadhi yao ni magaidi kama unakumbuka wale madogo waliolipua Boston marathon kama unazo kumbu kumbu wanatoka huko Caucus.
Wanaongea lugha yao ya kiu caucas na warusi wanatamka (kafkaz).
Hawa jamaa wanataka sana kujitenga ila Putin hataki kabisa wakitenge.
Kwa sababu anaogopa influence ya usa na mataifa ya europe kwa nchi zinazomzunguka.
......
Aisee ndugu yangu bora uulize swali moja moja manake naweza kukuandikia kitabu hapa nikakuchosha bure