Mimi pia nilisha shawishiwa sana kujiunga,ila bado natafakari , sijaielewa kwa undani sana, ila ninachojua ni kama biashara ya network, mtu aliekuingiza anapata commission, unapoingia unatakiwa uwe umedeposit dola 400 au dola 1500 kulingana na package unayoitaka., kazi yako ni kukopy link za matangazo na kuzipaste kwenye website, hizo link wanakupatia na hata hizo website unazotakiwa kutuma hizo link pia wanakupatia. mapato unayoyapata wewe ni dola 20 kwa kila package kwa mwezi, kama una package 3 ni dola 60 kwa mwezi, kwa maelezo zaidi hebu jaribu ku google.
umeona enhee.. Hamna cha bure town jmn..first watakupa pesa afu baadae ukinogewa tu unaenda toa mahela yako yote unapeleka huko.. Inakuwa kama desi baadae.. Lol tufanye kazi jmn hamna cha bure town, mm siamini kbs ktk hili coz huyu rafiki yng anasema kashachukua pesa tayari na amewekeza tena m.25 by april this year anasema zitarudi.. Namuombea tu zirud maana mmh!lol mi nimeshaconvisiwa kujiunga ila nimepuuza,bora nife na umaskin wangu kuliko kuingia huko halafu baadae ikala kwangu
Uwoga wako ndo umaskini wako ndugu zangu hiyo siyo Deci kawaida za wabongo kuomba na kusemana ila kujaribu na kujishughulisha ndo tatizo,Hiyo ni kampuni inashughulika na technology unapotoa hiyo hela unakuwa kama umenunua hisa then yeneywe haifanyi gawio kama hizo kampuni zingine wewe unarusha matangazo mwisho wa week unapata hela yako kutokana na package uliyoingia nayo.kwa maelezo zaidi nicheck hpa ntakupa details 0715564535.wabongo tusiwe wagumu kuelewa na kujaribu.
tembelea TelexFREE
Uwoga wako ndo umaskini wako ndugu zangu hiyo siyo Deci kawaida za wabongo kuomba na kusemana ila kujaribu na kujishughulisha ndo tatizo,Hiyo ni kampuni inashughulika na technology unapotoa hiyo hela unakuwa kama umenunua hisa then yeneywe haifanyi gawio kama hizo kampuni zingine wewe unarusha matangazo mwisho wa week unapata hela yako kutokana na package uliyoingia nayo.kwa maelezo zaidi nicheck hpa ntakupa details 0715564535.wabongo tusiwe wagumu kuelewa na kujaribu.
tembelea TelexFREE