comrade igwe
JF-Expert Member
- Jan 12, 2015
- 7,295
- 3,939
Leo hii kuna tukio kubwa la ziara ya Mh Rais katika Mkoa wa Manyara kuzindua barabara ya KIA hadi Mererani, vituo vingi vya binafsi vya luninga vinarusha live matangazo hayo bila matatizo sasa tunaitegemea TBC kama kituo cha Taifa kurusha live bila matatizo lakini matangazo yao yamekua yakikatika katika kila onyesho katika ziara hii kuna nini?