teja aligombana na babaake.akatoka nje akiwa amekasirika akaenda moja kwa moja hadi kwenye geti la makaburi afu akabandika picha ya babaake chini ya picha akaandika "COMING SOON"
Hallow kwanini sasa umenipotezea hasira zangu ?!!!!!teja aligombana na babaake.akatoka nje akiwa amekasirika akaenda moja kwa moja hadi kwenye geti la makaburi afu akabandika picha ya babaake chini ya picha akaandika "COMING SOON"
atakuwa mfuasi wa uamsho huyo tejaa