absolutely right Absolute, lakini huo uhuru wa kuabudu upo Iran? Mbona wao wanawanyanyasa Baha'is na kuwanyima haki za binadamu kama elimu simply kwa kuwa ni Baha'is....c'm on lets be just here
Safi sana Iran? ningefurahi kama Saudi, Egypt and the like wangewapa warning hawa majinga maswis.
Kama una data za kunyanyaswa mtu kwa ajili ya ku-practice his/her believe popote tutakiwa tuwa blame in equal proportion..awe iran, saudia, au uswis Ok
Waswis wanafikiri watu wako kwao kwasababu wana shida sana walikotoka no...wengine ni lazima tuwe nchi zingine kwa sababu za kikazi so lazima tu-practice dini zetu kisawasawa...wao kama hawana dini to hell watakutana na muumba
Sijakuelewa unataka kusema nini?I thought wewe ungewapa warning hahahahahah..why wait for Egypt and Saudia? Wamekuzidi nini?
Personal testimonies haitoshi kuwa ushahidi tosha?U simply amaze me unavyopiga somersault hoja zako.
Hii ishu ilishaongelewa sana ukabisha na tukakuleta data na personal testimonies sasa unabisha nini? Ina maana hujui SAUDIA wanabagua dini nyingine kwa kiwango cha kutisha? Kweli i expected uelewa zaidi kutoka kwako...usibishe tu mradi unabisha vinginevyo unajipotezea heshima.