TECNO W3 Stock firmware W3-H806A1-M-160721V30

McMahoon

JF-Expert Member
Dec 22, 2017
1,347
1,626
Habari wakuu!
Mwenye stock firmware ya Tecno W3 build number W3-H806A1-M-160721V30 inayofanya kazi naomba. Nimejaribu kupakua mtandaoni hazifanyi kazi
Shukrani
 
Habari wakuu!
Mwenye stock firmware ya Tecno W3 build number W3-H806A1-M-160721V30 inayofanya kazi naomba. Nimejaribu kupakua mtandaoni hazifanyi kazi
Shukrani
Ungeeleza simu yako ina shida gani kwanza, shida inaweza isiwe faili
 
Ungeeleza simu yako ina shida gani kwanza, shida inaweza isiwe faili
Ni kweli ila kulinganana na tatizo, stock firmware itanifaa zaidi. Nliroot kwa wrong TWRP file na sikufanya backup ya firmware. Simu ilikuwa inawaka fresh tu hapo mwanzo
 
Hizo simu mara nyingi kwenye kesi kama hizo tatizo huwa EMMC. Inawaka inaishia kwenye logo?
 
Hizo simu mara nyingi kwenye kesi kama hizo tatizo huwa EMMC. Inawaka inaishia kwenye logo?
Simu haiwaki kabisa wala ukichomeka kwenye chaji haioneshi. ukichomeka kwenye computer inatoa mlio na inasoma kwenye Splash tool na Miracle box. Nahitaji stock firmware inayofanya kazi
 
Du! pole sana simu nyingi za kina techo, community support hua ndogo sana, na ungese wao hua hawatoi ROM katika websites zao, mi nimewai kupambana na hio issue kwenye Sony z3 sema ile ROM zake, zimejaa.
 
Ni kweli ila kulinganana na tatizo, stock firmware itanifaa zaidi. Nliroot kwa wrong TWRP file na sikufanya backup ya firmware. Simu ilikuwa inawaka fresh tu hapo mwanzo
Japo sijajua ulifanya kwa hatua gani lakini kwa ujumla twrp haiwezi kuzima simu maana inakaa kwenye recovery partition. Kama uliweka twrp ambayo siyo ya simu husika ingewaka ila isingeweza kuingia recovery.

Kama uliflash wrong preloader ndio inaweza kuzimika ila si twrp. Kama una cm2 ninaweza nikakupa maelekezo ya awali kabla haujaanza kuhangaika na stock rom.
 
Japo sijajua ulifanya kwa hatua gani lakini kwa ujumla twrp haiwezi kuzima simu maana inakaa kwenye recovery partition. Kama uliweka twrp ambayo siyo ya simu husika ingewaka ila isingeweza kuingia recovery.

Kama uliflash wrong preloader ndio inaweza kuzimika ila si twrp. Kama una cm2 ninaweza nikakupa maelekezo ya awali kabla haujaanza kuhangaika na stock rom.
Sina CM2. Ningepata Stock firmware ingekuwa vizuri zaidi
 
Sina CM2. Ningepata Stock firmware ingekuwa vizuri zaidi
Umesema ulipata ya mtandaoni stock yenye build no sawa na ulizopost na bado ikagoma? Je buid no hizo ndo za firmware iliyokuwemo kabla ya kuzimika?
 
Umesema ulipata ya mtandaoni stock yenye build no sawa na ulizopost na bado ikagoma? Je buid no hizo ndo za firmware iliyokuwemo kabla ya kuzimika?
Sikupata firmware yenye build namba sahihi. Baada ya kukosa nilijaribu hii ikagoma
Screenshot (746).png
 
Sikupata firmware yenye build namba sahihi. Baada ya kukosa nilijaribu hii ikagomaView attachment 2624478
Imegoma kuingia kwenye simu, au simu bado haiwaki baada ya kuiflash na firmware hiyo. Kuna maswali mengine unayaruka kuyajibu.

Je, firmware hiyo unayotafuta ndiyo ilikuwemo kwenye simu kabla ya kuzimika?

Ulitumia process gani kuflash hiyo twrp na ilikuwa na files za ziada?

Mwisho kabisa ifungue simu uniandikie board id hapa na version yake, board id inaanza na H.
 
Back
Top Bottom