Mpekuzi17
JF-Expert Member
- Mar 21, 2017
- 445
- 395
In shaa Allah da same to you MkuuHuku nao Alhamdulillah wako wazima.
Nipo sasa nimejaa tele sasa na sitaadimika tena. Haya uwe na mchana mwema.
haya ngojea tuone kama hutoadimika tena
In shaa Allah da same to you MkuuHuku nao Alhamdulillah wako wazima.
Nipo sasa nimejaa tele sasa na sitaadimika tena. Haya uwe na mchana mwema.
Unaenda dukani ukiwa na akili zako timamu unanunua tecno .unatoa na hela unalipa tena si ajabu unadai na risiti.
HA HA HA HA HAAAAAAAAUnaenda dukani ukiwa na akili zako timamu unanunua tecno .unatoa na hela unalipa tena si ajabu unadai na risiti.
IPhone gani? IyoNilikuwa napenda sana lg na nimetumia sana kuanzia lg v10,lg g3,samsung s5,4 na 3 ila tatizo ni moja hazikai na chaji tena bora Samsung kuliko lg zinapata moto kama zimetoka jikoni.ila saizi nimeamia kwenye iphone 📱 chaji saa 24 halafu data zipo on pia haipati moto gb zakutosha 128 .
Ndio upungwani wa wabongo wengi we unafikiri kununua kitu cha milioni ndio kujiona tajiri au we ni bora kuliko wengine life is cycle mku kila mtu ana chaguo lakeUnaenda dukani ukiwa na akili zako timamu unanunua tecno .unatoa na hela unalipa tena si ajabu unadai na risiti.
Zero IQNdio upungwani wa wabongo wengi we unafikiri kununua kitu cha milioni ndio kujiona tajiri au we ni bora kuliko wengine life is cycle mku kila mtu ana chaguo lake
Ungepeleka kwa fundi akubadilishie/akuwekee vizuri networking wire simple tuu wala usingejuta kuitumia tecnoNgoja waje mpambane ila kiukweli Tecno niliwahi tumia na ikanizingua upande wa Network yaani ukiwa mjini ndio unapatikana nikirudi home ni kama nina kopo tu.
Toka hapo sijawahi tumia tena Tecno aiseee na sitatumia tena. Ilikuwa Tecno C9 hiyo.
Mkuu iyo simu bado unayoNgoja waje mpambane ila kiukweli Tecno niliwahi tumia na ikanizingua upande wa Network yaani ukiwa mjini ndio unapatikana nikirudi home ni kama nina kopo tu.
Toka hapo sijawahi tumia tena Tecno aiseee na sitatumia tena. Ilikuwa Tecno C9 hiyo.
Unabishana hata na ID yako.kimsingi labda niseme umekosea sana kusema wabongo ni mapunguani. Mm niliandika vile coz tecno sizipendi kwa jinsi zilivyo. Hazina ladha. La pili kubali kuwa hakuna mtu hapendi vitu au maisha mazuri tatizo ni uwezo.mtu una uwezo huwezi nunua simu mkebe km hizo tecno. Tatu ukiona mtu kanunua kitu cha gharama kubali tu kakuzidi na ndio pengine mtazamo wake siyo useme anaringa, huo ni umaskini wa akili. Nne usipende kujifariji kwa mitazamo ya kimaskini.Sawa 1000 IQ naona uko vyema na mawazo yako.
Unaenda dukani ukiwa na akili zako timamu unanunua tecno .unatoa na hela unalipa tena si ajabu unadai na risiti.
We ulipatia mkuu ulivyosema hapo juu kwamba" Unaenda dukani ukiwa na Akili zako timamu unanua tecno"Unabishana hata na ID yako.kimsingi labda niseme umekosea sana kusema wabongo ni mapunguani. Mm niliandika vile coz tecno sizipendi kwa jinsi zilivyo. Hazina ladha. La pili kubali kuwa hakuna mtu hapendi vitu au maisha mazuri tatizo ni uwezo.mtu una uwezo huwezi nunua simu mkebe km hizo tecno. Tatu ukiona mtu kanunua kitu cha gharama kubali tu kakuzidi na ndio pengine mtazamo wake siyo useme anaringa, huo ni umaskini wa akili. Nne usipende kujifariji kwa mitazamo ya kimaskini.
Betri jeeee?Samsung mpango mzima, screen angavu na ya kusense fasta si km tecno screen inang'ang'ania vidole, mi pia natumia zote (nina tecno w3 na Samsung j5 2016) na nina mpango wa kununua Samsung J8 ya mwaka huu.
Tatizo la Samsung ni bei tu ndo ghali ila ukweli huwezi kuzikompea na tecno.
Afu hiyo P5 yako ya zamani sana asee nunua mpya tecno camon x ndo angalau unaweza kompea na samsung.
Shida yote ya nini?Kwa watu wa whatsapp na insta simu charge nyingi zinawafaa ila kwa wale wanaozigeuza simu kuwa kama PC tunahitaji zaidi ya charge na tuko tayar kubeba betri nne nne /charger au powerbank