Tecno User Vs Samsung and iphone user

Acha kukariri? Unadhani tukienda huko ndio mtatubabaisha?
 
Mtazamo chanya+
 
Ukiielewa teknolojia mambo kama haya hata haya kusumbui,kuna utofauti kati ya brand name na device specification,sifa hizi mbili ndio zinamfanya mtu aliye na uelewa wa teknolojia na uchumi kufanya maamuzi ya bidhaa ipi anunue,limbukeni huwa anakimbilia kununua jina na sio kifaa.
 
Techno L8plus nnayo tangu mwaka Jana january,iko poa bdo,imechubuka housing tu.
 
Tecno inaweza ikamfowadia mama mkwe wako meseji ya mchepuko.inaweza ikafungua pornhub ikadowload funyuksi,ikajiongeza sauti af ikaplay.TECNO hapana kwa kweli
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸšΆβ€β™‚οΈπŸšΆβ€β™‚οΈπŸšΆβ€β™‚οΈ
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…