Tecno User Vs Samsung and iphone user

Ngoja waje mpambane ila kiukweli Tecno niliwahi tumia na ikanizingua upande wa Network yaani ukiwa mjini ndio unapatikana nikirudi home ni kama nina kopo tu.

Toka hapo sijawahi tumia tena Tecno aiseee na sitatumia tena. Ilikuwa Tecno C9 hiyo.

Ngoja nimsaidie Ushimen kuweka mdomo wazi kabisa


Eti kama kopo...

Hiki kijembe ni hatarious kabisa.

Mimi naendelea kukomaa na katecno kangu hapa Dada yangu tangu nikatoe dukani April 26, 2016. Bado kako imara kanapiga kazi kwenye sekta muhimu kama mkuu Nchi
 
Hahahaaa. Nimecheka jamaani lol.

Hongera mdogo wangu ulibahatika basi ndugu yangu. Mzima lakini?
 
Ongera sana mkuu Tecno forever achana na hao wanaonunua simu kwa ukubwa wa majina ya kampuni kwa bei kubwaa na wakati za bei ndogo zipo nyomiii
 
usipende ku compare simu ya i phone na vitu vya kipuuzi..
 
usipende ku compare simu ya i phone na vitu vya kipuuzi..
Wazungu wanawafilisi kwa kuvipa vitu vyao Dhamani ila hakuna cha ziada mkuu.


Katecno kangu kanaingia facebook,whatsapp,instagram,twitter ,jf na site kama zote alafu nimekanunua laki 3 tu vipi we i phone yako ya milioni 3 ina kitu gani cha tofauti zaidi ya i cloud na Security ya uhakika.?
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…