Crispin Nyoni
JF-Expert Member
- Dec 11, 2012
- 413
- 90
Wakuu simu yangu tajwa hapo juu nikizima haiwaki hadi niisogeze kwenye chaja ipate moto hata kama ilikuwa imejaa halafu ndo inawaka. Tatizo limeanza leo. Je nifanyeje ?
.
Si n hii apa
.
.
Basi fanya mpango ununue simu..
.
Mkuu ndo hiyo hata mi inakuwaga na shida hii pia. Nijiandae kununua aina gani nzuri kwa net na bei rahisi?
Mkuu ndo hiyo hata mi inakuwaga na shida hii pia. Nijiandae kununua aina gani nzuri kwa net na bei rahisi?
ipeleke kwa fundi aiflash tatizo litaisha
Mkuu nunua iphone 5s hutajutia nakwambia.. Bei imeshuka sana, ni kama milioni 1.5 tu.
Mkuu nunua iphone 5s hutajutia nakwambia.. Bei imeshuka sana, ni kama milioni 1.5 tu.
Wakuu simu yangu tajwa hapo juu nikizima haiwaki hadi niisogeze kwenye chaja ipate moto hata kama ilikuwa imejaa halafu ndo inawaka. Tatizo limeanza leo. Je nifanyeje ?