HansMapunda
JF-Expert Member
- Jan 22, 2015
- 456
- 260
Kama unaweza kununua za bei kubwa poa haina shida. Me nilkuwa natumia tecno L3 kwa miaka 3 imekufa charge system nimenunua techno N2 ni simu ya budget specs ni Quadcore processor @1.3Ghz, ram 1Gb, camera rear ni 5megapixel na front ni 2megapixel na internal memory kwa ajili ya apps ni Gb 8. Bajeti min 90000 na max 140000 (mikoani).Sijawah tumia techno kwa kweli