Good Father
JF-Expert Member
- Feb 28, 2014
- 10,276
- 18,350
Kwa sasa nyumbani kwangu marufuku mtu kumiliki tecno.
Labda aje nayo ndugu yangu kutoka kijijini otherwise sitaki kuona tecno ndani kwangu.
Ukija na tecno kama bajeti yangu ni nzuri nakununulia hata Huawei tu ilimradi nisiendelee kuiona tecno eti nayo inachajiwa kwa chanja yangu!
Labda aje nayo ndugu yangu kutoka kijijini otherwise sitaki kuona tecno ndani kwangu.
Ukija na tecno kama bajeti yangu ni nzuri nakununulia hata Huawei tu ilimradi nisiendelee kuiona tecno eti nayo inachajiwa kwa chanja yangu!