Mr.Wenger
JF-Expert Member
- Nov 20, 2014
- 2,524
- 5,859
Dah umeongea bonge la point, yaani kuna watu wanafananisha S7 ya milioni na J8 ya laki 3 sio fair kabisanaona wengi mnaikandia tecno especially C8, Hivi mnajua kwamba C8 sio ndio simu ya juu kabisa ya tecno? C8 ina bajeti ya kati ya 280,000/- hadi 250,000/- . sasa basi bei hiyo inaendana na uwezo wake. Hebu sema ni simu gani ya Samsung/HTC/Lumia/Sony/Huawei yenye Specs hizo na inauzwa bei hiyo?
Huawei Y6 iliyokuwa ovyo kabisa ilikuwa 235,000/- na ram yake ya 512.
sasa basi unalinganisha SAMSUNG S4/NOTE3/NOTE4 simu zilizochezea Laki 7 laki 8 na 8 ya 280,000/-
kwanini basi hata usingelinganisha hizo simu zingine na tecno R7 au Phantom Z au Phantom 5. au ulinganishe C8 na hizo simu zenye bajeti zinazokaribiana J1/J2.
Is it fair. tecno ina watumiaji wengi sana afrika almost 50% hivyo lazima matatizo yake yatakuwa mengi.