Chief-Mkwawa
Platinum Member
- May 25, 2011
- 32,062
- 43,478
Application zote zipo kwa phantom kama zilivyo kwa samsung. Unaweza kudowload nyingine yo yote uipendayo. Mm hutumia Phantom na naridhika nayo sana. Hiyo S 4 ya mabishoo tu haina la zaidi. Nunua phantom usijali. Isitoshe bei ni one third ya s 4 mkuu
Mzuri kwa vigezo vipi? Weka picha tukuone, sio unajisifia.
kadownload emulator ya dolphin then tafuta game la nintendo wii ikikubali kucheza kwenye tecno nakupa vocha ya 5000.
Umeanza vizuri ukaharibu mwishoni. Kama uko serious nitakupa link yao upate kuchati nao roho yako iridhike. Tatizo umeathiliwa na ukolani mambo leo kwa kuona kila anachotengeneza mzungu ni bora.
utaliwa hela yako mkuu tecno m7 na p5 zinachapa huo mzigo vizuri bila shida.
mwenzangu wengine muwaache nisawa na yule alie kuwa anang'ang'ania kupanda scandnavia kwa bei ghali sana eti kisa wanagawa soda,juicy na cace na bado akifika sehemu ya chakula anateremka kununua wakati mzee unapanda zako zuberi kwa bei ya kawaida na ukifika hotelini nawewe unateremka kununua msosi, tabu ya watanzanaia tulio wengi tunashabikia majina ya bidhaa eti kisa samsung mtu yupo radhi alipe hadi milion wakati katika utendaji ngoma droo na tecno tena misamsung ming huwa inapata moto mapema kuliko tecno sasa sijui wana nunua kwa vile ya majina hata sielewi mh! Eti samsung,iphone,blacberry na makorokocho mengine sijui manini huko!! Aaagh !! Sijui wenyewe bana mie situmii samsung wala tecno bt techo naikubali ni reliable kwa nchi zetu za kiafrica.
Kuleta ulayman kwenye mambo ya kitaalamu katu hakukubaliki
Hata mwenye bajaji atafika mbagala kama mwenye vogu
Achilia kampuni mbili za mabasi hapa bongo kuwa na bei tofauti, mahali popote pale duniani ndege ni moja lakini madaraja tofauti na kila daraja lina bei yake tofauti kabisa,mnapanda ndege moja na mnatua uwanja mmoja at the same time.......je hawa nao ni malimbukeni?
Kama kweli hujui kwanini akina Samsung na wenzake wanauza simu zao bei ghali kuliko Tecno na upeo wako ukaishia ni kwa sababu ya majina yao basi upeo wako kuhusu hili ni mdogo sana mkuu