Tecno Phantom six plus

Scofied

JF-Expert Member
Joined
Jun 5, 2012
Posts
2,456
Reaction score
1,685
Wakuu heshima kwenu,nina tumia hiyo simu kwa mda sasa..but imeanza tatizo lankustack stack....nikiweka lock na kutoa inafanya kazi kama sekunde 10 hivi then ina stack tena..nimeifanyia factory reset but tatizo lipo pale pale...na kuna saa inakuwa poa kama dakika kumi hivi then inastack tenaa....ushauri please!
 
Kama kuna memory umeweka itoe ndio yenye shiida, pia baadhi ya simcard inaweza leta shida. Kwa ufupi kama kuna mabadiliko ya hardware uliofanya nayo ireste na kuacha zile devices ambazo zilikuwa zinafanya kazi vizuri. Pia kama kuna software umeinstall au umeupgrade android, angalia pia na hiyo, rudisha zile software au update zilziokuwa zinafanya kazi vizuri. Unaweza google forums zinazoendana na hilo tatizo lako ili uwasome na wenzako wenye shida kama yako na utatuzi wake ulikuwa ni upi?
 
Kaka hata usiumize kichwa nilikua nna tatizo hilo hilo.. Nikapiga factory wapi... Software update wapi.... Aaah nikaenda kubadili touch... Kitu mpya hadi leo....
 
Msaada
Nina Phantom 6 plus ila inaniwia vigumu kuhamisha files kutoka kwenye phone memory kwenda kwenye external usb flash anaeweza kunisaidia pls
 
Msaada
Nina Phantom 6 plus ila inaniwia vigumu kuhamisha files kutoka kwenye phone memory kwenda kwenye external usb flash anaeweza kunisaidia pls
Kwenda external memory card au usb flash drive?
 
Hapo mpaka otg cable au chukua memory card copy vitu vyako kisha chomeka kwenye pc kisha chomeka flash drive yako copy vitu vyako kweny flash drive.
Natumia OTG cable..kila nikicopy files kutoka kwenye phone memory kuhakishia kwenye flash drive ile option ya kupaste kwenye flash drive haitokei
 
Natumia OTG cable..kila nikicopy files kutoka kwenye phone memory kuhakishia kwenye flash drive ile option ya kupaste kwenye flash drive haitokei
Jaribu kuchomoa flash yako kwenye otg cable, zima simu yako (usi restart) kisha washa tena. Chomeka tena
 
NA VIPI KUHUSU TECNO CAMON X kama kuna mtu amesha wai kuitumia
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…