Tecno mobile Mega Thread

Navilevile upande wa pili wa tecno sio kwenye group aliyoitaja. Bali upande wa pili wa tecno ni itel. So mwambie alumbane na watu wanaotumia itel. Asijilinganishe hata na huawei.
 
YAANI RaDHA YA JUKWAA IMEPOTEA KABISA !

JUKWAA ZIMA TECNO TECNO !

ABASH WORLTHLESS TO LOGIN

 
Nadhani muda umefika Moderator muunganishe mada zote zinazohusu tecno. Lakini pia zipelekwe jukwaa la matangazo. Nina taarifa kua kuna baadhi ya wauzaji wa tecno kariakoo wana vijana wao humu wamewapa kazi ya kupromote tecno humu,pia nafaham hayo maduka. Haya mnayoyaona humu tecno tecno,tecno usifikiri ni wateja wanauliza,ni marketing strategy, ni wenye maduka wanafanya promo Invisible.
 
Last edited by a moderator:
Navilevile upande wa pili wa tecno sio kwenye group aliyoitaja. Bali upande wa pili wa tecno ni itel. So mwambie alumbane na watu wanaotumia itel. Asijilinganishe hata na huawei.

Mkuu huawei ndo wale wale tu, kwa sababu hata wao mf ku upgrade android version haiwezekan
 

"Tecno wanatumia monkey, wale wengine ndo wanatumia gorrila"

Ulinifurahisha sana mkuu
 

Mifano yako sio sawa, hata vits na range zote zinafika zinakokwenda. Anayepanda vits hafiki destination tofauti. Ukilinganisha speed, ukubwa n.k hapo sawa.
Mtoa mada anaongelea matumizi ya kawaida. Chukulia hivi, ukiwa kwenye "wasapu" au "fesibuku" au "twiraa" mimi wa tecno na wewe wa samsung tofauti yetu nini? mambo si yale yale tu?
 
kweli Kichwa Ndio Mtu ifike wakati sasa tecno wawe na jukwaa lao maana post zake humu zimezidi



Hahaha aisee u guys mmenifurahisha sana. ....jukwaa limechafuliwa na tecno Hahaha
 
Last edited by a moderator:

Wewe ndio umeongea non sense kabisa, utofaut kati ya range na vitz ndio, je utofaut gan uliopo kat ya Galaxy na Tecno? utofaut kat ya Nyumba ya nyas cjui na nn upo, kuna utofaut gan kat ya HTC na tecno? Toa mifano hai acha mifano mfu
 
ukweli Tecno mpango mziiiiiiima
bei ndogo kilakitu kiganjani karibu tecno
 
Tuna mpango wa kuzima simu zisizo na viwango vya kimataifa simu gani europe yote na marekani haipo
 

ukinunua simu ya milioni unakuwa huweki vocha mpaka simu iharibike ila tecno inakula hela hiyo ili kufidia simu kama iphone na samsung
teh teh teh
 
nimekusoma sana B2L but nikitaka kubadirisha kama maelezo yako yanavyosema, siioni option ya ku edit, how can i do that?
 
Last edited by a moderator:
Tecno ni simu zetu kipato cha chini. Nina tab tecno N9, haitoi picha nzuri,na applications nyingi tu nashindwa kuzitumia. JF nipeni uvumbuzi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…