CalvinPower
JF-Expert Member
- Nov 25, 2008
- 1,685
- 1,085
Navilevile upande wa pili wa tecno sio kwenye group aliyoitaja. Bali upande wa pili wa tecno ni itel. So mwambie alumbane na watu wanaotumia itel. Asijilinganishe hata na huawei.Alishasema sana chief mkwawa hapa sema mmeamua kua vipofu wa akili kila siku kuuliza maswali yale yale,tena non sense.
Huwezi kua una gari aina ya vitz ukataka kujilinganisha na mwenye range kisa zote ni gaqi,utakua huna akili. Huwezi kua una nyumba ya nyasi ukataka kujilinganisha na mwenye gorofa eti kisa zote ni nyumba,utakua mwehu. Huwezi kua unapikia kuni ukataka kujilinganisha na anaepikia gesi eti kisa yote ni majiko,utakua kilaza.
Tecno ni sawa na nguo za mtumba,siwezi kununua nguo ya mtumba tuseme karume,yenye alama ya nike,nikajilinganisha na droga eti kisa nae kavaa nike,ntakua mburula.
Navilevile upande wa pili wa tecno sio kwenye group aliyoitaja. Bali upande wa pili wa tecno ni itel. So mwambie alumbane na watu wanaotumia itel. Asijilinganishe hata na huawei.
Alishasema sana chief mkwawa hapa sema mmeamua kua vipofu wa akili kila siku kuuliza maswali yale yale,tena non sense.
Huwezi kua una gari aina ya vitz ukataka kujilinganisha na mwenye range kisa zote ni gaqi,utakua huna akili. Huwezi kua una nyumba ya nyasi ukataka kujilinganisha na mwenye gorofa eti kisa zote ni nyumba,utakua mwehu. Huwezi kua unapikia kuni ukataka kujilinganisha na anaepikia gesi eti kisa yote ni majiko,utakua kilaza.
Tecno ni sawa na nguo za mtumba,siwezi kununua nguo ya mtumba tuseme karume,yenye alama ya nike,nikajilinganisha na droga eti kisa nae kavaa nike,ntakua mburula.
Alishasema sana chief mkwawa hapa sema mmeamua kua vipofu wa akili kila siku kuuliza maswali yale yale,tena non sense.
Huwezi kua una gari aina ya vitz ukataka kujilinganisha na mwenye range kisa zote ni gaqi,utakua huna akili. Huwezi kua una nyumba ya nyasi ukataka kujilinganisha na mwenye gorofa eti kisa zote ni nyumba,utakua mwehu. Huwezi kua unapikia kuni ukataka kujilinganisha na anaepikia gesi eti kisa yote ni majiko,utakua kilaza.
Tecno ni sawa na nguo za mtumba,siwezi kununua nguo ya mtumba tuseme karume,yenye alama ya nike,nikajilinganisha na droga eti kisa nae kavaa nike,ntakua mburula.
kweli Kichwa Ndio Mtu ifike wakati sasa tecno wawe na jukwaa lao maana post zake humu zimezidi
Nadhani muda umefika Moderator muunganishe mada zote zinazohusu tecno. Lakini pia zipelekwe jukwaa la matangazo. Nina taarifa kua kuna baadhi ya wauzaji wa tecno kariakoo wana vijana wao humu wamewapa kazi ya kupromote tecno humu,pia nafaham hayo maduka. Haya mnayoyaona humu tecno tecno,tecno usifikiri ni wateja wanauliza,ni marketing strategy, ni wenye maduka wanafanya promo Invisible.
Alishasema sana chief mkwawa hapa sema mmeamua kua vipofu wa akili kila siku kuuliza maswali yale yale,tena non sense.
Huwezi kua una gari aina ya vitz ukataka kujilinganisha na mwenye range kisa zote ni gaqi,utakua huna akili. Huwezi kua una nyumba ya nyasi ukataka kujilinganisha na mwenye gorofa eti kisa zote ni nyumba,utakua mwehu. Huwezi kua unapikia kuni ukataka kujilinganisha na anaepikia gesi eti kisa yote ni majiko,utakua kilaza.
Tecno ni sawa na nguo za mtumba,siwezi kununua nguo ya mtumba tuseme karume,yenye alama ya nike,nikajilinganisha na droga eti kisa nae kavaa nike,ntakua mburula.
hahaha watuache
Mifano yako sio sawa, hata vits na range zote zinafika zinakokwenda. Anayepanda vits hafiki destination tofauti. Ukilinganisha speed, ukubwa n.k hapo sawa.
Mtoa mada anaongelea matumizi ya kawaida. Chukulia hivi, ukiwa kwenye "wasapu" au "fesibuku" au "twiraa" mimi wa tecno na wewe wa samsung tofauti yetu nini? mambo si yale yale tu?