Tecno mobile Mega Thread

Tecno smartphones zimekuwa ni simu zenye hadhi ya juu kwenye soko kutokana na kupendwa sana na watumiaji kiasi cha kununuliwa kwa wingi mno katika soko kuliko smartphone yoyote ile hapa bongo, ila sasa kuna wahuni wameanza kutengeneza feki ambazo zinakuwa ni kero kwenye utumiaji kiasi kwamba mtu utatamani kuitupa.
Suluhisho lipo ili kujua umeuziwa tecno orijino tembelea hii tovuti Genuine Check na kisha uingiza codes



1 KUJUA SIMU ORIJINO Genuine Check INGIZA IMEI (PIGA*06#) UTAPATA CODE AMA CHUKUA BOKSI LA SIMU UTAIONA VILEVILE UTAONA NA VC CODE ZIINGIZE KWENYE TOVUTI YAO NA UTAPEWA JIBU

2.KUTAMBUA BETRI ORIGINAL- INGIA Genuine Check NA UINGIZE SN CODE YA BETRI YAKO AMBAYO IMEANDIKWA KWENYE BETRI YAKO
 
sijui unamaana gani kusema tecno ni simu zenye hadhi ya juu.dadavua hapo shiny c
 
Last edited by a moderator:
mbona hii ninayotumia inazimazima ni tecno S5 au ndo uimara wenyewe kuzimazima na kustack
 
Tecno smartphones zimekuwa ni simu zenye hadhi ya juu kwenye soko kutokana na kupendwa sana na watumiaji kiasi cha kununuliwa kwa wingi mno

sasa hiyo si hadhi ya juu mkuu wanapenda vya bei nafuu ndio maana wengi wameshobokea hiyo isiwe sababu ya kuzifanya tecno kuwa na hadhi ya juu
 
sasa hiyo si hadhi ya juu mkuu wanapenda vya bei nafuu ndio maana wengi wameshobokea hiyo isiwe sababu ya kuzifanya tecno kuwa na hadhi ya juu

dah mkuu yaelekea hata kusoma kumekushindwa nmemanisha hadhi ya tecno in terms of Tanzanian market in relation to the economy of many Tanzanians so kuanzia leo uwe unasoma post nzima sio unasoma kipande kifupi afu unaanza kureply
 
Hivi kama kitu kinauzwa sana, kinakua cha hadhi ya juu.?

#Team Tecno kwa matangazo hamjambo.!!
 
kila kitu kina hadhi kulingana na mazingira yake kibongobongo tecno ina hadhi mana ni bei rahisi na ina mapungufu machache sana ukilinganisha na hizo simu za milion ambapo mwisho wa siku ratio ni tofauti sana
 
B2L Mkuu,nimejaribu silent na vibration bado ina fanyaa dzzz pale simu inapoanza kuhesabu sekunde na mwisho wa maongezi ambayo pia inasikika kwa mtu aliyepokea simu.
 
Tecno ni smartphone ya kiwango cha chini sn ..umasikin tu ndo unafanya xinunuliwe kwa wingi.nishawahi kutumia nilijuta..
 
umeshawahi tumia tecno au unaleta ubishi t

Sijabisha kuuzwa kwa wingi sababu sina data za mauzo ya simu Tanzania, Ninachobisha ni neno hadhi ya juu kisa zinauzwa Sana.

Hivi kama watanzania wengi tunavaa mitumba kwa wingi kuliko special utasema mitumba inahadhi ya juu.?
 
Sijabisha kuuzwa kwa wingi sababu sina data za mauzo ya simu Tanzania, Ninachobisha ni neno hadhi ya juu kisa zinauzwa Sana.

Hivi kama watanzania wengi tunavaa mitumba kwa wingi kuliko special utasema mitumba inahadhi ya juu.?

mkuu nahic we ni m2 mzima mwenye akil zake we ucfkir tu ki2 kikiwa ghal ndo kina hadhi hivi hujiulizi kwa nin fastjet ina hadhi ya juu japo hawatoi misosi bure na nauli yao ni chee kuliko wakina precission ah mnachosha sasa
 
Mkuu shukrani for the info, sina shaka umeileta jamvini kwa nia njema na itawasaidia wengi ambao hawako obsessed na branded stuff.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…