Tecno C5 4G Smartphone

Tecno C5 4G Smartphone

Mkuu hiyo simu kwa hizo specs zake inaweza kweli kuhimili game au applications za uwezo mkubwa?

Kila site ninayoangalia hawajaandika ni chip gani ya mediatek iliotumika hivyo sijui nguvu ya cpu na gpu ipoje. Labda tusubir zaidi watatoa taarifa nyengine
 
Kila site ninayoangalia hawajaandika ni chip gani ya mediatek iliotumika hivyo sijui nguvu ya cpu na gpu ipoje. Labda tusubir zaidi watatoa taarifa nyengine

Mbona ntamaholo kaandika specifications zote uzi nambia #5 ?
MT6735 na Mali730 vp tuambie inaweza kuplay game zenye graphics kubwa km asphalt8?
 
Mbona ntamaholo kaandika specifications zote uzi nambia #5 ?
MT6735 na Mali730 vp tuambie inaweza kuplay game zenye graphics kubwa km asphalt8?

Hio comment yangu umequote kwa post ya startimes planet na sio tecno.

Pia jamaa amesema ina mali 760 kitu ambacho nadhan si sahihi, kushare same gpu na s6 simu yenye nguvu sana.

Nimeangalia fresh hio mtk ina mali t720 ambayo ni kama robo ya hio t760.

Gpu na magame mara nyingi huathiriwa na resolution ya kioo.

Kama ni 480p au 540p haina neno utacheza games fresh, kwa hd itacheza ila itakua si nzuri sana na full hd haiwez kucheza kabisa.

Hii c5 ina 720p (hd) hivyo perfomance itakuwa ni ya kawaida sana. Sio kubwa wala sio ndogo
 
Hio comment yangu umequote kwa post ya startimes planet na sio tecno.

Pia jamaa amesema ina mali 760 kitu ambacho nadhan si sahihi, kushare same gpu na s6 simu yenye nguvu sana.

Nimeangalia fresh hio mtk ina mali t720 ambayo ni kama robo ya hio t760.

Gpu na magame mara nyingi huathiriwa na resolution ya kioo.

Kama ni 480p au 540p haina neno utacheza games fresh, kwa hd itacheza ila itakua si nzuri sana na full hd haiwez kucheza kabisa.

Hii c5 ina 720p (hd) hivyo perfomance itakuwa ni ya kawaida sana. Sio kubwa wala sio ndogo

Sawa nimekuelewa ila kwa bei yao ya 300000 sini bora s2 km itapata uppdate za marshmallow
 
Sawa nimekuelewa ila kwa bei yao ya 300000 sini bora s2 km itapata uppdate za marshmallow

S2 mwisho jelly bean, labda kama utaeka custom rom ila nafkiri kwa budget hio tafuta moto e 4g kama utaipata

Then pia gpu ya s2 sidhan kama ipo fast kuliko t720
 
Unaposema band za simu mfano wake ni kama radio.

pl1028364-khcibo_kk_8041_fm_mw_sw1_sw2_4_band_radio_analog_radio_receiver.jpg


Mfano radio one wanaweza kusema tunapatikana 88.8 fm basi wewe kuipata radio one itabidi uchukue radio yako usearch 88.8fm ili kuipata radio one.

Mambo yapo hivyo hivyo kwa tigo, wao 4g yao inapatikana 800mhz ili uipate inabidi simu yako iwe na hio band.

Huwezi kukilaumu kituo cha radio au mtandao wa simu kwa kuchagua band fulani ni sisi watumiaji ndio tunatakiwa kununua vifaa vinavyokubali hio band.

Lawama zote zinakuja kwa mnunuzi kabla hujanunua kifaa chako angalia band kama zinafanana, usinunue redio isiyo na fm halafu ukalalamika radio yako haishiki.

Mkuu kuna jamaa fundi aliwahi weka FM kwenye radio zile za national ambazo hazikuwa na FM waves kabla. Nimekumbuka uyo fundi ili niulize kama kunaweza kuwa na utundu wa kuweka hizo bands kwa simu ambazo hazina hizo bands kama alivyofanya jamaa kwenye radio😕😕😕

Pia kama simu haipo gsm arena nawezaje kujua bands zake???
Asante.
 
Mkuu kuna jamaa fundi aliwahi weka FM kwenye radio zile za national ambazo hazikuwa na FM waves kabla. Nimekumbuka uyo fundi ili niulize kama kunaweza kuwa na utundu wa kuweka hizo bands kwa simu ambazo hazina hizo bands kama alivyofanya jamaa kwenye radio😕😕😕

Pia kama simu haipo gsm arena nawezaje kujua bands zake???
Asante.
Simu zinazokuja africa zisizopatikana gsmarena utazikuta bestmobs

List Of Mobile Phone Brands, Makers, Vendors

Kuhusu bands si rahisi mtu mmoja kuziongeza maana zinakaa kwenye soc pamoja na cpu na gpu
 
Mkuu kuna jamaa fundi aliwahi weka FM kwenye radio zile za national ambazo hazikuwa na FM waves kabla. Nimekumbuka uyo fundi ili niulize kama kunaweza kuwa na utundu wa kuweka hizo bands kwa simu ambazo hazina hizo bands kama alivyofanya jamaa kwenye radio😕😕😕

Pia kama simu haipo gsm arena nawezaje kujua bands zake???
Asante.

kinachofanywa na fundi ni anaweka MAIN PCB ya redio ndogo yenye FM katika hiyo radio kubwa isiyo na FM. na kuunganisha power, na output signal peke yake kwenda kwenye Pre-Amp ya hiyo redio kubwa.

kwa upande wa simu hii haiwezekani bila kubadili ICs.
 
Hiyo simu ni ngumu ku root kweli. Hata kwa kutumia PC. Nimeshaitumia
 
Unaposema band za simu mfano wake ni kama radio.

pl1028364-khcibo_kk_8041_fm_mw_sw1_sw2_4_band_radio_analog_radio_receiver.jpg


Mfano radio one wanaweza kusema tunapatikana 88.8 fm basi wewe kuipata radio one itabidi uchukue radio yako usearch 88.8fm ili kuipata radio one.

Mambo yapo hivyo hivyo kwa tigo, wao 4g yao inapatikana 800mhz ili uipate inabidi simu yako iwe na hio band.

Huwezi kukilaumu kituo cha radio au mtandao wa simu kwa kuchagua band fulani ni sisi watumiaji ndio tunatakiwa kununua vifaa vinavyokubali hio band.

Lawama zote zinakuja kwa mnunuzi kabla hujanunua kifaa chako angalia band kama zinafanana, usinunue redio isiyo na fm halafu ukalalamika radio yako haishiki.

Kwaiyo 4g band zote zinaanzia 800mhz na kuendelea?
 
Kwaiyo 4g band zote zinaanzia 800mhz na kuendelea?
hapana zipo band chini ya hapo 700mhz nk

we unachotakiwa ni kumatch band ya mtandao wako na simu utakayoinunua hizo band za 4g zipo nyingi sana
 
Back
Top Bottom