TECNO Boom J8 Discussion forum

TECNO Boom J8 Discussion forum

gstar

JF-Expert Member
Joined
Jun 19, 2011
Posts
814
Reaction score
1,490
Wiki iliyopita nimenunua simu aina ya Tecno boom J8 baada ya kusikia sifa zake nyingi kwa watu wanao zitumia lakini cha ajabu baada ya kuinunua wala sijaifurahia kabisa
Kwanza touch sensitivity iko very low
Camera quality is poor wanasema 13px lakini kimsingi itakuwa chini ya hapo labda wanatumia lugha ya kibiashara tu
Screen resolution iko chini sana
Ninawasiwasi na processing speed yake.
Ki msingi sijaifurahia japo imekuwa ikipigiwa promo sana
Kama kuna mtu ambaye amesha tumia hii simu aje hapa atupe feedback
 
Kabla Ya Kununua Aukukagua? Kuna Jamaa Yangu Kainunua Juz Juz Tuu, Leo Anaiuza!! Lazma Kuna Ndivyo Sivyo Kwenye Hii Kitu.
 
Wiki iliyopita nimenunua simu aina ya Tecno boom J8 baada ya kusikia sifa zake nyingi kwa watu wanao zitumia lakini cha ajabu baada ya kuinunua wala sijaifurahia kabisa
Kwanza touch sensitivity iko very low
Camera quality is poor wanasema 13px lakini kimsingi itakuwa chini ya hapo labda wanatumia lugha ya kibiashara tu
Screen resolution iko chini sana
Ninawasiwasi na processing speed yake.
Ki msingi sijaifurahia japo imekuwa ikipigiwa promo sana
Kama kuna mtu ambaye amesha tumia hii simu aje hapa atupe feedback
sijaitumia ila nimependa muonekano wake . housing yake iko vizuri kuliko ya C8 na pia front camera iko vizuri kuliko C5,C8 na J7
 
Me sina mpango na upande wa Camera saana.
Nmejipiga na Tecno W4, speed iko njema n iko slim
 
Dah! mbona mnanipa mashaka kwa sababu katika promo yao wamenishika hadi nimeshawishika niuze hii c5 yangu ni move kwenye hii j8.
Nimejaribu kupitia ktk specifications zake kiukweli inajieleza vzr lkn mbona kuna manunguniko?
Hebu mlioinunua tuwekeni sawa kabla hatujauvaa mkenge
 
Wiki iliyopita nimenunua simu aina ya Tecno boom J8 baada ya kusikia sifa zake nyingi kwa watu wanao zitumia lakini cha ajabu baada ya kuinunua wala sijaifurahia kabisa
Kwanza touch sensitivity iko very low
Camera quality is poor wanasema 13px lakini kimsingi itakuwa chini ya hapo labda wanatumia lugha ya kibiashara tu
Screen resolution iko chini sana
Ninawasiwasi na processing speed yake.
Ki msingi sijaifurahia japo imekuwa ikipigiwa promo sana
Kama kuna mtu ambaye amesha tumia hii simu aje hapa atupe feedback
Kwa upande wangu sija-experience hiyo shida ya touch lkn hata Camera pia.
Niko na hii Simu Tecno J8 kwa zaidi ya wiki 2 sasa.
Sijui kwa upande wako shida iko wapi.
Lkn pia uzuri wa kitu upo kwa mtu mwenyewe.

Jambo jingine la msingi ambalo ulipaswa kufahamu kabla hujanunua ni kwamba, pamoja na sifa zote wanazo promote, hii simu ni maalum kwa wale wanaopenda MUSIC. Kwa upande wa music wapo vizuri.
 
Dah! mbona mnanipa mashaka kwa sababu katika promo yao wamenishika hadi nimeshawishika niuze hii c5 yangu ni move kwenye hii j8.
Nimejaribu kupitia ktk specifications zake kiukweli inajieleza vzr lkn mbona kuna manunguniko?
Hebu mlioinunua tuwekeni sawa kabla hatujauvaa mkenge
Specification zao huenda ukakuta za ki promo promo. Unadhani kwa mini hawapo gsmarena?
 
tecno wapo poa sana, sijawahi kukutana na tatizo lolote katika simu zao juzi tu nimetoka kumnunulia mchuchu w4 nkaitumia kwa siku 3 mfululizo inakaa na charge mpaka raha hapo data ikiwa on full time na pia naperuzi kwenye social networks na websites tofauti non-stop, kitu ina android 6.0 marshmallow so light and sleek design halafu inapata OTA system updates pia, coz nilipoweka data on tu ikawa inadai ni download system optimization update ya android 6.0 nayotumia ili kufix bugs n.k.
Tecno ni simu nzuri kwa uzoefu wangu ingawa labda wangebadilisha marketing stratergies zao tokea awali, ingekuwa poa zaidi wangekuja na jina jipya kipindi walipotransform tokea kwenye feature phones kuja katika uundaji wa smartphone za android maana ninachokiona ni ile kasumba ya watu wengi kuichukulia kuwa ni inferior brand kwa kuwa walianza na simu zilizofahamika kuwa ni za kichina enzi zile kabla ya simu za smartphones kujizolea umaarufu tokea kwa makampuni makubwa ya simu ulimwenguni.
 
tecno wapo poa sana, sijawahi kukutana na tatizo lolote katika simu zao juzi tu nimetoka kumnunulia mchuchu w4 nkaitumia kwa siku 3 mfululizo inakaa na charge mpaka raha hapo data ikiwa on full time na pia naperuzi kwenye social networks na websites tofauti non-stop, kitu ina android 6.0 marshmallow so light and sleek design halafu inapata OTA system updates pia, coz nilipoweka data on tu ikawa inadai ni download system optimization update ya android 6.0 nayotumia ili kufix bugs n.k.
Tecno ni simu nzuri kwa uzoefu wangu ingawa labda wangebadilisha marketing stratergies zao tokea awali, ingekuwa poa zaidi wangekuja na jina jipya kipindi walipotransform tokea kwenye feature phones kuja katika uundaji wa smartphone za android maana ninachokiona ni ile kasumba ya watu wengi kuichukulia kuwa ni inferior brand kwa kuwa walianza na simu zilizofahamika kuwa ni za kichina enzi zile kabla ya simu za smartphones kujizolea umaarufu tokea kwa makampuni makubwa ya simu ulimwenguni.
Exactly.....!!!
 
Hicho unachokisema kuhusu touch nafikiri ni kweli, sijainunua niliikuta dukani nikajaribu kuishika nifanye navigation kidogo kwenye screen..response ya touch ilikua poor sana
 
kwenye kununua simu kuna kitu watu wengi hawakiangalii, nacho ni kabla hujanunua hio simu ulikuwa unatumia simu gani?

kama unatoka galaxy s7 au iphone 7 na kuja kununua boom j8 ni lazima utaona kila kitu kibaya, ila kama unatoka tecno y3 na kununua j8 utaona upo dunia nyengine kwa uzuri wa simu.

huwa kikawaida simu za kichina zina lantency kubwa kwenye kugusa kioo, unapogusa kioo hadi simu kuhisi kuguswa inachukua muda mrefu, angalia hii graph ni ya mda kidogo ila itakupa mwanga

DisplayLatencyChart.png


hizo ni latency za kioo

ndio maana unakuta iphone 4s kioo chake kidogo ila unatype vizuri kuliko simu ya kichina yenye kioo kikubwa.

kuhusu camera megapixel sio quality ya camera, camera inaweza kuwa na megapixel nyingi ikawa na sensor ndogo na quality ndogo

na kioo kinaweza kuwa na resolution kubwa ila ikawa imetumika technology dhaifu kutengeneza, mfano kioo cha super amoled huwezi kifananisha na TFT lcd au NT panel.
 
kwenye kununua simu kuna kitu watu wengi hawakiangalii, nacho ni kabla hujanunua hio simu ulikuwa unatumia simu gani?

kama unatoka galaxy s7 au iphone 7 na kuja kununua boom j8 ni lazima utaona kila kitu kibaya, ila kama unatoka tecno y3 na kununua j8 utaona upo dunia nyengine kwa uzuri wa simu.

huwa kikawaida simu za kichina zina lantency kubwa kwenye kugusa kioo, unapogusa kioo hadi simu kuhisi kuguswa inachukua muda mrefu, angalia hii graph ni ya mda kidogo ila itakupa mwanga

DisplayLatencyChart.png


hizo ni latency za kioo

ndio maana unakuta iphone 4s kioo chake kidogo ila unatype vizuri kuliko simu ya kichina yenye kioo kikubwa.

kuhusu camera megapixel sio quality ya camera, camera inaweza kuwa na megapixel nyingi ikawa na sensor ndogo na quality ndogo

na kioo kinaweza kuwa na resolution kubwa ila ikawa imetumika technology dhaifu kutengeneza, mfano kioo cha super amoled huwezi kifananisha na TFT lcd au NT panel.
Nunua soda naja kulipia
 
Back
Top Bottom