Sir Alex
Member
- Jan 27, 2013
- 15
- 3
Jamani kuna simu ya TECNO CX Ambayo fundi alichange touch screen and system charge, sasa baada tu ya zoezi hilo naona Network yake iko chini sana (Bar Moja), had sometimes nikiweka 3G only then nipo ndani ya chumba inapotea kabisa Msaada. NOTE: Kwa Technical issues hata kama uko mbali ukanisaidia kunipa maelekezo ninaweza kuitengeneza even Hardware (Nahitaji tutorial (UJUZI)).