Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kufanya Ziara ya Kitaifa nchini China kuanzia tarehe 2-4 Novemba 2022. Hii ni kufuatia Mwaliko wa Rais wa Jamhuri ya Watu wa China, Xi Jinping. Taarifa hiyo imetolewa leo na Wizara ya Mambo ya Nje China.
Tanzania na China tumekuwa ni ndugu na tumekuwa tukishirikiana kwenye mambo mengi ya ujenzi wa taifa letu. Rais Samia Suluhu anaendelea kuimarisha uhusiano wetu
China pia imefadhili miradi mingi nchini na pia ni soko kwa bidhaa nyingi kutoka nchini. Kwa hii ziara Mh rais anaenda kuendeleza uhusiano utakao saidia kukuza uchumi nchini, ufadhili pamoja na uwejezaji katika sekta mbali mbali ikiwemo miundombinu, viwanda na teknolojia.
Hakika Rais Samia ni gwiji katika diplomasia ya kimataifa. Nchi inafunguka na fursa zinatafutwa kwa maendeleo ya nchi yetu.
Tanzania na China tumekuwa ni ndugu na tumekuwa tukishirikiana kwenye mambo mengi ya ujenzi wa taifa letu. Rais Samia Suluhu anaendelea kuimarisha uhusiano wetu
China pia imefadhili miradi mingi nchini na pia ni soko kwa bidhaa nyingi kutoka nchini. Kwa hii ziara Mh rais anaenda kuendeleza uhusiano utakao saidia kukuza uchumi nchini, ufadhili pamoja na uwejezaji katika sekta mbali mbali ikiwemo miundombinu, viwanda na teknolojia.
Hakika Rais Samia ni gwiji katika diplomasia ya kimataifa. Nchi inafunguka na fursa zinatafutwa kwa maendeleo ya nchi yetu.