TEC wafutiwe usajili

TEC wafutiwe usajili

hamna shida futeni tu, lkn post d9 wafungwa wote waliowekwa ndani kwa uonevu watakuwa huru, usajili utarudishwa, bandari zetu zitarudi, uonevu utafikia mwisho ...
 
Gwajima,Mwamposa watapotea na wataibuka wapya kama ilivyokuwa kwa Kakobe ila RC litakuwepo vilevile tu.
 
Kabla hawajafutiwa kafute mavi yako kwanza huko nyuma maana dully kakufumua marinda mpaka nnya imetoka ...
 
Ni vigumu kwa serikali kufungia Baraza la TEC (Baraza la Maaskofu wa Kikatoliki Tanzania) kwa sababu lipo chini ya Kanisa Katoliki na kila mtu anajua ushawishi mkubwa wa kanisa hili duniani chini ya kiongozi wake mkuu Papa, ambaye hata mataifa makubwa kama Marekani hutambua nguvu yake ya kidiplomasia na kiimani. Zaidi ya hilo, Kanisa lina miundombinu mikubwa kama shule, hospitali, vyuo na vituo vya huduma ambavyo mara nyingi ni bora kuliko hata vya serikali, na vinategemewa na wananchi wengi. Kwa sababu hizi za kimataifa, kijamii na kisheria, kulizuia au kulifungia Kanisa Katoliki kutaleta athari kubwa na ndiyo maana ni jambo gumu sana kutekelezeka hilo unalotamani wahusika wafanye.
 
Kama kweli Gwajima akifitiwa usajili kwa kuongelea mambo ya siasa, Sasa kwanini wasizifute BAKWATA na TEC ili tuone huo ubabe wao. Tena waanze na Bakwata na wamtie ndani Mufti na kesho yake wakamalize na TEC pale Kurasini na wanakamate Kitime.
Kama hawatafanya hivyo basi waruhusu Kanisa na Gwajima na wamuombe radhi na kulipa gharama zote.
Ila siku CCM wakiingia kwenye mfumo watasaga meno, yani wafuasi wa Gwajima watapiga kwenye kichwa.
 
Kama alivyotukiwa makanisa ya Gwajima.
Wanaangiza taharuki kwa jamii
Ikiwa hayo ndiyo matamanio yako,kabla wao hawajafikiwa wewe na kizazi chako chote huenda wafuta sajili watakiwa wameshawafuteni na kusahaulika na jamii yenu yote.Hivyo ongeza maombi wafikiwe kwa kuwa kabla ya kufikiwa wao wewe utakuwa umeshafutwa!
Kama ilivyotoke kwa makanisa ya Gwajima.

Wanaangiza taharuki kwa jamii
Omba uwahishwe mirembe
 
Kwenye list ya zero brains ongezeni na hili zuzu
 
Back
Top Bottom