Chief Elungata!
Yaani wewe umekua kama vile una tenda ya kumdhibiti huyo Chadema/Mkristo mwenye chuki na hasada ziso kwisha dhidi ya Uislam/Waislam...ajiitae Nyakageni aka Mkanyageni! Kwi! Kwi! Kwi!
Kila anapohamia au kukimbilia kwingineko humu Jf wapi!...akigeuka anaona Wazee wa kazi;Chief Elungata,Dr.Kahtaan, Eng.Hydrobad,Shariff Ritz na wengineo lukuki wamemganda "kwa nyuma"/mgongoni!Duh! Msijefanza huyu Mkanyageni akajinyonga maskini! Kwi! Kwi! Kwi!
Lakini hakuna haja ya kumuonea huruma maana vita na chuki dhidi ya Waislamu na Uislam kaanzisha/wameanzisha wenyewe kwa kutumiwa na hiyo Chadema yao...sasa watu inatulazim kumalizia tu.
Tuko pamoja saana Al Akhiy;sisi ndugu zenu soote wenye kujitambua,tunakusomeni kwa utuvu mwingi mno kwa jitihada zenu na Ilm mtoayo dhidi ya upotoshwaji wa makusudi na chuki dhidi yetu na dini yetu tukufu! Endeleeni tu kumsokomeza majiti huyo "punda urongo" aka Mkanyageni na Chama/kikundi chao mpaka yawaingie kisawasawa!...namaanisha majiti ya roho siyo "kumoyo"!!? Kwi! Kwi! Kwi!
Ahsanta.
Cc;Tayeb,Boko Haram