To be honest, mwaka huu TEC haijatoa waraka wa Pasaka 2025. Na siyo lazima TEC itoe waraka. Tamko la askofu wa jimbo la Lindi ni tamko/maoni yake binafsi, SIYO waraka wa TEC. Kila askofu alichokisema kwenye salaam za pasaka au mahubiri ya pasaka ya mwaka huu ni mafundisho yake binafsi.
Vyombo vya habari vimekuwa vikichanganya habari ya TEC na mahubiri binafsi ya askofu husika kwa waumini wake.
INGAWAJE askofu wa Lindi mwanzoni mwa mahubiri yake ALIDANGANYA waumini wake aliposema anasema kama Raisi wa TEC. No! NO! NO! ni MWONGO. Katika hili alidanganya! Wanaomkosoa wamkosoe yeye kama askofu wa Lindi, SIYO TEC.
Note well: Maaskofu/mapdre wanatakiwa wawe na mipaka katika kutoa matamko yao. Ya kaizari wamuachie kaizari. Wao wajikite na ya Mungu, TOSHA. Kwasababu Askofu/padre/mchungaji HANA TAARIFA sahihi na zakutosha juu ya SERIKALI. ATADANGANYA TU!
Pia maaskofu/wachungaji hawana moral authority ya kuikosoa serikali wakati wao wenyewe wanafanya mambo ya HOVYO mengi, kama kukwepa kodi,wiza,uwongo,utapeli,udikteta uchwara,dhuruma kwa watoto kingono,utelekezaji wa watoto wao,ubakaji,ushoga,uporaji wa maeneo ya wananchi,ukiukaji mkubwa wa haki za binadamu nk.
Wajisafishe kwanza wao wenyewe. Otherwise, they should stop that nonsense! Watu siku hizi wanajua kuhoji vitu(critical thinking), ndo maana watu wengi siku hizi hawaendi makanisani.
Vyombo vya habari vimekuwa vikichanganya habari ya TEC na mahubiri binafsi ya askofu husika kwa waumini wake.
INGAWAJE askofu wa Lindi mwanzoni mwa mahubiri yake ALIDANGANYA waumini wake aliposema anasema kama Raisi wa TEC. No! NO! NO! ni MWONGO. Katika hili alidanganya! Wanaomkosoa wamkosoe yeye kama askofu wa Lindi, SIYO TEC.
Note well: Maaskofu/mapdre wanatakiwa wawe na mipaka katika kutoa matamko yao. Ya kaizari wamuachie kaizari. Wao wajikite na ya Mungu, TOSHA. Kwasababu Askofu/padre/mchungaji HANA TAARIFA sahihi na zakutosha juu ya SERIKALI. ATADANGANYA TU!
Pia maaskofu/wachungaji hawana moral authority ya kuikosoa serikali wakati wao wenyewe wanafanya mambo ya HOVYO mengi, kama kukwepa kodi,wiza,uwongo,utapeli,udikteta uchwara,dhuruma kwa watoto kingono,utelekezaji wa watoto wao,ubakaji,ushoga,uporaji wa maeneo ya wananchi,ukiukaji mkubwa wa haki za binadamu nk.
Wajisafishe kwanza wao wenyewe. Otherwise, they should stop that nonsense! Watu siku hizi wanajua kuhoji vitu(critical thinking), ndo maana watu wengi siku hizi hawaendi makanisani.