Team ya wapiga deki mpooo!

Team ya wapiga deki mpooo!

Mkuu angalia wengine jinsi michango yao ilivyo kuwa "muted" tofauti na thread nyingine. By the way, deki ni deki tu. Liwe la bei rahisi a.k.a big results now au kill me quickly ama la bei kubwa a.k.a slowly but sure au kill me slowly. Kote kote madhara ni yale yale. My sisters be natural. Kuba wengine tunapenda akina cheusi dawa!

Ha hahaaaa....it's all about being confident na kujikubali.
Team naturale oyeeeeee
 
Kuna siku tulikua ofisini zikaletwa Karanga, dada mmoja akachota kumpa mkaka jamani alizikataa. et acha nichote mwenyewe mikono yako ina chemical siilewi.Na ilikua kweli aliskia vibaya.
 
Ukiona kaanza kukunja ndita kimbia...njoo home faster...kina kaka watajua cha kufanya...cc Ntuzu

hahahaa nishatoroka hapa nasakwa kwa udi na uvumba kibao kikiwageukia mi simo
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom