Team USA Hatushindwi - Njoni tuyajenge

Team USA Hatushindwi - Njoni tuyajenge

All I know there will be surprises and consequences.
Naona anguko la Marekani.
Bullies siyo watu wa kuwavumilia...
 
Nyie shabikieni tu vita. Nawaambia vita ikianza hata sisi pia tutaumia kwa namna moja. Usishangae ukija kununua petrol kwa shs 6000 kwa lita kwa ajili ya kulipia gharama za vita inayopiganwa mbali huko.

Madhara ya hii vita kama itatokea yanaweza yakayumbisha uchumi wetu unaotembelea gongo kama c kuchechemea. Tena haya madhara yake yanaweza kwenda kwa muda mrefu tofauti na wengi mnavyo fikiri
 
Hivi kati ya Tanzania na korea kas ipi masikini? Mpaka leo hii bado tunahamasisha uchimbaji wa vyoo malaria tu yanasumbua halafu useme korea kask ni masikini kweli hii vita mnaishabikia tu inaweza kuchukua muda ka kule vietnam shauri yenu wakorea siyo waarabu au waafrika ambao tumejaa umamluki na usaliti mtakoma mimi hata sijui huko duniani mna shida gani kikinuka mtajibeba
 
Wenye dunia yao wamekasirika soon utaona kipank ananyolewa....
 
Korea anapigwa mchana kweupe chezea USA.... Umeshaambiwa ndio taifa lenye NGUVU KUBWA KABISA ZA KIJESHI DUNIANI alafu watu wanapima na Korea...Haaa haaa haaa Yaani Kama naona
 
Mie team NK hao uliowataja woote waarab na Mzee wa kiduku sio mwarab so watch it
Hata mimi ni team NK. Ni lazima kutofautisha NK na waarabu. waarabu wengi ni vibaraka wa US, kwa hiyo inapotokea vita waarabu wengi wanamuunga mkono US.
Lakini pia waarabu wengi hawana silaha za Nuclear tofauti na NK.
 
Back
Top Bottom