johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 104,319
- 183,534
Hadi sasa Pindi Chana, Diana Chilolo, Shamsa Mwangunga na Lediana Mng'ong'o wameshindwa katika kura za maoni viti maalum. Unaweza kuwaongeza pia Nchimbi, Ole Medeye etc etc.
Huyo pindi chana kichefuchefu
wengine wasiotakiwa kurudi bungeni ni pamoja na Ummy mwalimu, mwigulu nchemba, murtaza mangungu hawa ni baadhi ya wabunge ambao ni adui kwa usitawi wa taifa la Tanzania
Kwa Pindi Chana hata mimi naunga mkono, kuna mwingine mwarabu koko wa Kishapu sijui anaitwa nani ni bogus sana huwa hana point zaidi ya kujiita mbunge shapu, hana tofauti na wabunge wa viti maalumu.wabunge wanastahili kukosa kabisa nafasi ni pamoja na Wasira, Asunta mshana (mbunge waNkenge) , kandege(Kalambo), Arfi( mpanda mjini) Simbachawene na wote wa viti maalum wakiongozwa na Leticia Nyerere!!
Hadi sasa Pindi Chana, Diana Chilolo, Shamsa Mwangunga na Lediana Mng'ong'o wameshindwa katika kura za maoni viti maalum. Unaweza kuwaongeza pia Nchimbi, Ole Medeye etc etc.
Pindi chana hakuwa team Edo