TEAM B-13 ushuhuda wangu juu ya supernatural powers

TEAM B-13 ushuhuda wangu juu ya supernatural powers

....."It worked for me na hata matajiri wengi duniani" Really!!???, Unayosema yangekuwa kweli kusingekuwa na masikini duniani!,

Halafu mbona unawasemea matajiri wengine!, Wewe ni tajiri?
wengi ni maskin coz wengi hawajui hiyo siri na weng wameclose their mind kujifunza ata mtu ukimwambia anaona unaongea nonsense mfano mtu kama wew mim tangu nimejifunza maisha yangu yamebadilika kwa kiasi kikubwa niko financial stable na soon naenda kua moja ya matajiri wakubwa tz my little advise kwako open ur mind penda kujifunza usipende kubisha kila kitu
 
Sipingani sana na hoja yako bali kuna tatizo LA kutoelewana


Ninapo sema naweza kumsoma MTU kabla ya hata hajaongea simaanishi ww unaetumia keyboard

Namaanisha kwa MTU ambae nipo nae-karibu I mean awe rafiki yangu mpenzi wangu au MTU wangu wa karibu yoyote japo si kwa 89%
Na ndiyo hasaa ninachomaanisha mimi! Mtu aliyeko mbele yako. Unajua hili la kumsoma mtu kama anasema uongo au kumsoma mambo mengine madogo madogo ni wengi wanaweza. Hata mimi. Ila nachopinga ni kujiweka level ya juu kama unavyodai.
 
wengi ni maskin coz wengi hawajui hiyo siri na weng wameclose their mind kujifunza ata mtu ukimwambia anaona unaongea nonsense mfano mtu kama wew mim tangu nimejifunza maisha yangu yamebadilika kwa kiasi kikubwa niko financial stable na soon naenda kua moja ya matajiri wakubwa tz my little advise kwako open ur mind penda kujifunza usipende kubisha kila kitu
....Mkuu kwa ushauri tu, Fanya kazi kwa bidii! hakuna mtu amewahi kuota utajiri NEVER, People work to earn their living,

Nashangaa kuona mtu kama wewe ( Usikute una familia ) kuamini vitu cheap namna hiyo!

Sikatai kujifunza vitu vipya ila inategemea najifunza nini na kwa manufaa gani!

Hivi nikikwambia asilimia karibu 50 ya habari za mitandaoni sio uhalisia utaniamini?

Kingine mkuu being wealthy is a results of either inheritance or work hard, have you ever heard of a saying that says "Work hard pays"?, So stop dreaming for a good life instead work for it!
 
wengi ni maskin coz wengi hawajui hiyo siri na weng wameclose their mind kujifunza ata mtu ukimwambia anaona unaongea nonsense mfano mtu kama wew mim tangu nimejifunza maisha yangu yamebadilika kwa kiasi kikubwa niko financial stable na soon naenda kua moja ya matajiri wakubwa tz my little advise kwako open ur mind penda kujifunza usipende kubisha kila kitu
....Alafu umesema your going to be one of those 'matajiri' wakubwa in Tanzania, why not all over the world! ni kwamba there is limitations of that power of mind ama?
 
....Mkuu kwa ushauri tu, Fanya kazi kwa bidii! hakuna mtu amewahi kuota utajiri NEVER, People work to earn their living,

Nashangaa kuona mtu kama wewe ( Usikute una familia ) kuamini vitu cheap namna hiyo!

Sikatai kujifunza vitu vipya ila inategemea najifunza nini na kwa manufaa gani!

Hivi nikikwambia asilimia karibu 50 ya habari za mitandaoni sio uhalisia utaniamini?

Kingine mkuu being wealthy is a results of either inheritance or work hard, have you ever heard of a saying that says "Work hard pays"?, So stop dreaming for a good life instead work for it!
Mkuu embu jifunze hii kitu

Embu nenda Google ukaongeze maarifa
 
kwanza kabisa naomba nitoe pongezi zangu za dhati kwako Mshana Jr kwa ku-share hizi nondo zinazohusiana na supernatural powers bila kuwa-ds respect akina Kiranga rakims nk...solute's


Mm ni-mmoja kati ya watu ambao tumejaaliwa kuwa na supernatural powers nafanya mediation pia nimejaaliwa kuweza kuwa na Powers of mind ile nguvu ya ndani ku- wish baadhi ya malengo yangu na kuwa na furaha yani ndani nakuona kama nimeyatimiza am be honesty.

Nimekua nikijaribu kucontro vitu mbalimbali kupitia maind yangu ninauwezo wa kutabili jambo kabla halija tokea japo so kwa 89% naweza kumsoma mtu kabla hajaongea chochote, ninauwezo mkubwa wa kusoma tabia za watu wangu wa karibu

Pia naweza kusoma macho ya MTU nikisha angali macho yako naweza kujua unachoongea ni cha kweli au so kweli .



Bado sijawa mwalimu mzuri wa haya mambo naendelea kuyafatilia kwa ukaribu
nakushauri endelea usiache ila pia punguza na ukiweza acha kabisa kutumia vilevi na nyama.. Pendelea kula vya kuchemsha na nyimbo zako ziwe za kutulia mantras na nyimbo za meditation
 
nakushauri endelea usiache ila pia punguza na ukiweza acha kabisa kutumia vilevi na nyama.. Pendelea kula vya kuchemsha na nyimbo zako ziwe za kutulia mantras na nyimbo za meditation
Kula nyama tena...Daah! Na ninavyopenda kusikiliza nyimbo za kina Eminem na wana Hip Hop wa Bongo kama Roma Mkatoliki sasa...

Anyway, ntaacha kula baadhi ya nyama ila nyingine ntapiga kama kawa

Pombe situmii, ila najiibaga kwenye weed

Wacha nianze kudownload hizo audio za meditation
 
Back
Top Bottom